Huo ni mvao sahihi kabisa mkuu! Jamaa yupo kazini na kazi yake ni babysitter!! Na anatakiwa kuwa smart na kufanya house chores zote, kifupi analisha familia yake kwa kazi hiyo usikute!! Akifika home kwake hagusi hivyo vitu hata kwa mangumi!!
Mimi ni kati ya wanawake ambao hawadream hayo. Mwanaume ndani ya nyumba inabidi awe mwanaume sio housegirl au baby siter. mwanaume anatakiwa kucheza na mtoto, sio kubeba mtoto huku anaosha vyombo kama yupo kwenye adhabu.
kama kuna mwanamke anayedream hayo basi sijui anataka nini, au ameshamchoka huyo mume; maana huwezi ukawa na mume unayemfanya hivyo halafu ukawa unampenda.
Bw. AB,
Tatizo la hii 'model' ni kwamba huku kwetu uswazi nyumba za kupanga, vyombo vyaoshewa nje upenuni watu wote na wapita njia wakuona, maana hamna haya mambo ya ndani kwa ndani.
Hivo mwanamume unapoamua kufanza kama haya inabidi uwe na moyo wa chuma kwelikweli, maana kila mtu mtaani atajua.
Sawa, ila vipi kama wewe unaenda kazini na yeye anakaa nyumbani, labda ndio anatafuta kazi so muda mwingi yuko nyumbani?
hata kama hana kazi, nasisitiza kuwa hizo sio kazi za Mume
Halafu watasema LIMBWATA hilo, na siyo mapenzi.
Jamaa katoka kazini, bado ana tai, halafu ndo kuosha vyombo. Safi sana. Husbands, love your wives, ..... as yourself.
UKIMALIZA, KASONGE UGALI.