Evariste Ndayishimiye: Safari yangu ya kwanza nje ya nchi nitaenda Tanzania

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Wakuu mida niko Ngara hapa namsikiliza Rais wa Burundi kutoka redio ya Burundi.

Anaeleza vitu anavyotarajia kuvifanya kwenye siku 100 za kukaa ofisini.

Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema mara baada ya kuapishwa nchi ya kwanza kuitembelea itakuwa Tanzania, ataonana na Magufuli kuimarisha biashara,usafirishaji na usalama na nchi ya Tanzania.

Wakuu nini maoni yenu kwenye hili.
 
Wakuu mida niko Ngara hapa namsikiliza rais wa Burundi kutoka redio ya Burundi.
Anaeleza vitu anavyotarajia kuvifanya kwenye siku 100 za kukaa ofisini.
Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema mara baada ya kuapishwa nchi ya kwanza kuitembelea itakuwa Tanzania, ataonana na Magufuli kuimarisha biashara,usafirishaji na usalama na nchi ya Tanzania.
Wakuu nini maoni yenu kwenye hili.
Ni mwanzo mzuri sana ila ninamshauri safari yake ya pili iwe Kigali. Ninaamini kama serikali za Burundi na Rwanda zikielewana na kuaminiana pamoja na ushirikiano mzuri na Tanzania na DRC, usalama wa eneo hilo utaimarika pamoja na uchumi wa nchi zote hizo.
 
Dah! msemo wetu pendwa wa kuwaita Watawala ving'ang'anizi wa madaraka "Nkurunziza" ndiyo basi tena! Akaribie tu. Asiwe na hofu, tutamuona mubashara kupitia Luninga zetu.
 
Wakuu mida niko Ngara hapa namsikiliza rais wa Burundi kutoka redio ya Burundi.
Anaeleza vitu anavyotarajia kuvifanya kwenye siku 100 za kukaa ofisini.
Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema mara baada ya kuapishwa nchi ya kwanza kuitembelea itakuwa Tanzania, ataonana na Magufuli kuimarisha biashara,usafirishaji na usalama na nchi ya Tanzania.
Wakuu nini maoni yenu kwenye hili.
Anakuja kumsalimia his fellow country man Jiwe the happiness snatcher.
 
Wakuu mida niko Ngara hapa namsikiliza rais wa Burundi kutoka redio ya Burundi.
Anaeleza vitu anavyotarajia kuvifanya kwenye siku 100 za kukaa ofisini.
Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema mara baada ya kuapishwa nchi ya kwanza kuitembelea itakuwa Tanzania, ataonana na Magufuli kuimarisha biashara,usafirishaji na usalama na nchi ya Tanzania.
Wakuu nini maoni yenu kwenye hili.
Mara baada ya kuapishwa mwezi August, tunamkaribisha sana Tanzania.

Burundi ni landlocked country, Tanzania ni mahali sahihi kuwahudumia kibiashara kwa kutumia bandari ya Dar.

Pia, ikumbukwe Rais anaemaliza muda wake Nkurunzinza aliwahi kuja Dar mwaka 2015; jamaa wakafanya jariobo la kuchukua nchi. Tanzania chini ya JK wakati huo tukamrejesha madarakani.

Rais Mteule Ndayishimiye karibu sana Tanzania
 
Wakuu mida niko Ngara hapa namsikiliza rais wa Burundi kutoka redio ya Burundi.
Anaeleza vitu anavyotarajia kuvifanya kwenye siku 100 za kukaa ofisini.
Pamoja na mambo mengi aliyoongea anasema mara baada ya kuapishwa nchi ya kwanza kuitembelea itakuwa Tanzania, ataonana na Magufuli kuimarisha biashara,usafirishaji na usalama na nchi ya Tanzania.
Wakuu nini maoni yenu kwenye hili.
Birds of the same feathers fly together

Les instincts dictatoriaux de Magufuli profitent au régime dictatorial de Nkurunziza

file.jpg
 
Back
Top Bottom