Evarist Chahali: Urafiki wetu na RWANDA ni wa mashaka

Kagame Anachowafanyia askari wa Tanzania walioko DRC,ni kupigana nao vita kisaikolojia,Askari wa Tanzania walioko DRC wanajua kabisa M23 ni wanyarwanda na walikuwa sponsored na Rwanda,kisaikolojia watakuwa wanaathirika kwamba anayefadhili M23 waliyemfurusha DRC,sasa ndio best friend wa mkuu,nadhani watakuwa demoralised kwamba hawana support kutoka nyumbani .....ni psychological warfare na itawapa M23 kiburi kwamba sasa wanaongea na mwenye nyumba
Sasa hivi si vita ya kisaikolojia pekee na risasi za moto juu.

Tayari tushapoteza askari wetu 14.
 
Kumwamini mnyarwanda ni sawa na kumwamini myahudi! Watu hatari sana, pamoja na matatizo ya nchi yao kuhusu uongozi wa kiimla lakini hawa watu wana passion kubwa kwa nchi yao and they are so patriotic kuliko sisi.
 
Nilitaka humu nipite tu kimyakimya, maana taarifa zinazotolewa humu az if Tanzania ni kampuni tu au kijiji, sa mwenyekiti wa kitongoji msaliti nalo ni inshu la kusema lahtaji usalama wa taifa? Usalama wa taifa uko mikononi mwa TIS tu si kila mwana jamii? Naachana na hayo, nilivyosikia mimi, sio tu tulimkamata, alishagundulika na wengi wanatumika kihvyo miaka mingi na inawezekana hata hivyo vyeo alipandishwa kiintelijensia, akawa analishwa sumu na ndo huo alouita RED CROSS, huyo mnaemuogopa.

Ikumbukwe, wakati anapigwa biti hilo TZ ilitakiwa isafirishe wanajeshi kwenda DRC, na inasemekana walitekwa wakiwa RWANDA, kwamba wao wapite wenyewe bali silaha zao zitasafirishwa na keshi la Rwanda, kilichotokea hata waJW wetu kwenda nazo wenyewe kila akatafute mwenyewe.

Tusivibeze tusivyovijua, vijana wanafanya kazi na posibo wako vizuri kuliko wote ktk ukanda huu. Kwani Tz haina madini? Why wasitufanye kama DRC unadhani hawataki hilo. Nyerere mengi ni ya kumzushia, labda kama alitaka kuzitawala zote. Kabila? Huyu wa sasa anaezungumza kiswahili na kusoma shule za Bongo wajameni?

Viongozi wengi wa nchi za maziwa makuu, vichwani mwao kuna vitu walivyovichota hapa Tanzania, kwanini wenyewe tunajidharau?

Swala la kuwa makini nao, mi naviamini sana vitengo vyote vyetu. Hata siasa ni vile tu tunazifanya kijinga, zinakosa maslahi kwa taifa, mi nadhani kwa sasa uzalendo ulivyoshuka, TIS na wawili tu na hawa wa ndani wanaojiegesha kwenye miavuli ya siasa na dini, ni wabaya zaidi hata kushinda huyo Kagame. Mtazamo tu.
Mkuu kama kwenye Siasa tunafanyiana fitina huko kwa wa nje inakuaje,na sio TIS ni TISS
Escrow
Meremeta
Twiga hai
Unga n.k
Hivyo vyote vilikua vinatokea walikua wapi
 
Watu wengi akina sisi hatuelewi mambo yahusuyo field zingine na si vibaya hata kidogo, ila uelewa wetu mdogo usitupofushe kuwadharau wengine. Mfano kuna mdau humu ametolea mfano wa ufisadi na ujangili, sasa ni lini ulishawahi kuona TIS kupeleka mashitaka mahakamani hata tuwahikumu hawafanyi kazi?

Mh. Majaliwa alishawahi fanya kazi mbugani hata stori za faru John azijue? Vipi zile skendo za bandarini? Nadhani wana kanuni ktk utendaji wao wa kazi lazima ziwaongoze, TIS na vyombo vyote vya ulinzi viko makini sana. Nadhani TIS iko kwa maslahi ya nchi wala si raia wala chama na yeyote atakayekwenda kinyume na nchi si cheo wala ukubwa utakaomlinda dhidi ya TIS.
Wamekaa kisiasa sana
Mambo yanayotokea kibiti vipi?
 
Na kuongezea mkuu na hata mheshimiwa rais kurudisha mahusiano na Israel kwa kuweka balozi yetu lazima itakuwa niki strategies. Tusipende kubeza cha kwetu na muanzisha uzi(thread) anaweza akawa mnyamlenge.
Hata kikiwa kibaya
Binafsi sipendagi vibovu hata kama vyetu
Hivi TISS wangekua wazalendo kwa rasilimali tulizo nazo tulitakiwa tuwe hapa?

Angalia rasirimali za RWANDA linganisha na za TANZANIA then jipe majibu mwenyewe Kati ya Nchi mbili hizo ipi inapiga hatua kimaendeleo zaidi ya yenzake
 
MAANDIKO yapo wazi UKUTANI kwa mwenye kuweza kusoma, hili sio suala binafsi ni suala la usalama,Kagame hawezi tulia mpaka aikamate bandari ya Dar or die trying hata ikibidi kuisambaratisha Tanzania,, na tuko vulnerable sana anaebisha aende KIBITI​
Mkuu nasikia kaikamata kipindi cha Jk wa 2 alishasemaga angekekia rais wa Tz bandari ya Dar tu ingetosha kuilisha tz yote
 
Kwanini tusiwe sisi ndio wenye huo mpango? Kwani kiasili Rwanda si ni Tanganyika, kwani ilishafutika? Yote hayo yaliyoelezwa kuwa ni mbinu za Rwanda zilinyamazishwa na wafugaji kupitia mbinu za kijadi za wasumbawatale tu, kuna haja gani ya kuhofu Rwanda?

Kwetu wanyarwandwa wapo kiasili tangu enzi za ukoloni wa Mjerumani, na kwetu hawezi hata kunywa maji kwa kikombe tukinywiacho, manamba , najisi asiyetahiriwa, hawana na hawatakuwa na lolote spesho sana ukiachilia urembo wa mabinti zao.

Kagame, mtoa mada kasema alitengenezwa Tanzania, je alikuwa ktk darasa la pekeyake au darasa lote lilikuwa ni la wanyarwanda tu?

Enzi ya ukombozi, Tanzania ilikuwa ni mlengwa nambari moja na serikali za kireno na kikaburu, bado tu mna mashaka na uwezo wetu wa kiintelijensia kweli au wote walishakuwa pasi kuacha kizazi?
Aliekufundisha Darasa la kwanza inawezekana bado anamfundisha mwanao na wewe ni mhadhiri CHUO wewe na mwl wako wa shule ya msingi nani zaidi?
 
Kumwamini mnyarwanda ni sawa na kumwamini myahudi! Watu hatari sana, pamoja na matatizo ya nchi yao kuhusu uongozi wa kiimla lakini hawa watu wana passion kubwa kwa nchi yao and they are so patriotic kuliko sisi.
Kwetu uzalendo hadi ufundishwe kwenye majukwaa kwa wenzetu uko damuni.
 
Hatimaye na Mtikila akafa kwa "ajali" .....
Mkuu nilikua nawaza Mtikila alikua anampinga waziwazi Paul Kagame na alikua anamuunga mkono John Magufuli

Je ukaribu wa Magufuli na Kagame leo hii Hayyati angekua upande upi?
 
Je unajua mission iluyopo kati ya JPM na Kagame? Hawa watu ni wamoja na wana lengo moja, si kuikomboa tanzania bali wana maslahi yao binafsi.

Jpm alipoapishwa mara ya kwanza kutoka nje ya nchi ilikuwa kumtembelea swahiba yake Paul kagame. Na baada ya pale tuliona kilichofata, utawala ulivadilika akaanza miendendo ya kidikteta haikupita wiki moja akakataza mikutano ya siasa na bunge live kana kwamba hayo ndiyo alijifunza kwa Kage kama mbinu ya kuwazima wapinzani wake ndani na nje ya Chama chake cha CCM.
Kagame ni tishio la kiusalama,si wa kumsogeza kiasi hicho karibu na Tanzania,mara aseme anataka walimu wa kiswahili kutoka Tanzania,mara anasema atatuletea wataalamu wa IT,na siku hizi mambo ya serikali yote yako kwenye computer na unamualika jirani ambaye juzi alikuwa anagombana nasi eti atufunze IT,unampa uwezo wa kutrack mambo yako yote! IT unaacha kujifunza marekani,Japan,China unajifunza Rwanda !! Usafiri wa ndege unaacha kujifunza kenya na Ethiopia unaenda kujifunza Rwanda! Mimi binafsi sijawahi kuona hata toothpick made in Rwanda !!

Kikanda,tushio la kiusalama ni Rwanda,na inatakiwa ikae juu kabisa,namba moja kwenye listi
 
Aliekufundisha Darasa la kwanza inawezekana bado anamfundisha mwanao na wewe ni mhadhiri CHUO wewe na mwl wako wa shule ya msingi nani zaidi?
Sijakuelewa labda, ila kama ulikuwa unajaribu kuijibu hoja kwamba Kagame kapatia ujuzi wake nchini, hukujibu vyema. Nilichomaanisha ni kwamba, Tanzania ina akina Kagame wengi sana.

Mobutu hakuwa mtotomtoto, kumtoa haikuwa kazi nyepesi, kumbukeni kwamba kulikuwa na mataifa makubwa yenye kunufaika naye, mi bado nina imani na taasisi zetu nyingi, yenye mashaka labda ni Polisi, lakini Nature ya kazi yao na mifumo tuliyonayo inaweza ni chanzo.

Lakini pia, kimfumo, Polisi hufanya kazi zao kwa maelekezo ya kamati za ulinzi na Usalama ambazo zina jumuiko la taasisi zote za ulinzi na Usalama.
 
Kwetu uzalendo hadi ufundishwe kwenye majukwaa kwa wenzetu uko damuni.
Ambao uzalendo kwao uko damuni ni akina nani? Hao ambao wanapigania uraia wa nchi hii kwa machozi. Rwanda bado halijawa taifa, bado wana changamoto nyingi sana kufikia utaifa.
 
Sijakuelewa labda, ila kama ulikuwa unajaribu kuijibu hoja kwamba Kagame kapatia ujuzi wake nchini, hukujibu vyema. Nilichomaanisha ni kwamba, Tanzania ina akina Kagame wengi sana.

Mobutu hakuwa mtotomtoto, kumtoa haikuwa kazi nyepesi, kumbukeni kwamba kulikuwa na mataifa makubwa yenye kunufaika naye, mi bado nina imani na taasisi zetu nyingi, yenye mashaka labda ni Polisi, lakini Nature ya kazi yao na mifumo tuliyonayo inaweza ni chanzo.

Lakini pia, kimfumo, Polisi hufanya kazi zao kwa maelekezo ya kamati za ulinzi na Usalama ambazo zina jumuiko la taasisi zote za ulinzi na Usalama.
Umenielewa
Na
Nimekuekewa
 
Sasa hivi si vita ya kisaikolojia pekee na risasi za moto juu.

Tayari tushapoteza askari wetu 14.
Kuna kitu hapa

Kumbuka majeshi ya Tz yalipekekwa na kikwete na yalowadhibiti kisawasawa M23 na jua kipindi hicho kikwete na huyu kagame walikuwa hawaivi kabisa.

Baada ya magufuli kuingia madarakani magufuli amekuwa karibu na museveni na kagame.

Ninachokiona hapo ni kwamba kuna kitu kinatengenezwa ikiwemo hiyo ya kuattack wanajeshi wetu ili magufuli awaondoe huko wanajeshi wake wote kwa kigezo cha kulinda wanajeshi wake.

Hili hao madicteta waendelea kula Mali za DRC kiuliani

Hawa wame wa kina Janet ni tishio kwa maisha ya wana east Africa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom