Kuna kilaza mmoja niligongana nae kitaa majuzi anasema Italy hata nafasi ya 10 haipi.
Ushabiki wa EPL umewaharibu watu akili kwa kweli, yani wao hawaoni chochote nje ya ligi yao pendwa.
sawa ngoja tuone damu mpyaHispania
sawa ngolo kanteUfaransa lazima tubebe ndoo.
itoshe tuu kusema wanakimbiza mwizi kimya kimyaNi mwaka wa Azzuri huu kufanya makubwa maana wana kikosi kizuri sana na wanaupiga mwingi hatari
naunga mkono hojaItalia
Kwannongeeni pumba muiwache Switzerland muone
Wako team work, njmeangalia game zao za kirafiki. Wanapiga mpira mwingi sana. Hope watafika mbaliKwann
Sawa mkuu, pengine tunaweza kuona maajabu ya Euro 2004 Ugiriki alipobeba ndoo kinyume na matarajio ya wengiWako team work, njmeangalia game zao za kirafiki. Wanapiga mpira mwingi sana. Hope watafika mbali
Ongeza na Germany hapo list ikamilikeFrance
Belgium
Italy
Portugal
Bingwa asipotokea hapo id yangu ipigwe banned
Germany hii hii iliyofungwa na Macedonia?Ongeza na Germany hapo list ikamilike