Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,701
- 45,035
- Thread starter
- #2,961
Andrea Belotti mzito sana
Aah ile sheria bora ilivyo futwa yaanj ukipigwa goli tu mchezo umeisha hapo hapoZamani kulikuwa na golden goal, dakika kama hizi timu zilikuwa zinacheza kwa tahadhari sana
Mie nilikuwa na shemeji yako kaenda kulala nimebaki pekee sebuleniUchovu tuu, leo nacheki mechi mwenyewe sina kampani
Sawa mkuuMie nilikuwa na shemeji yako kaenda kulala nimebaki pekee sebuleni
Mtatuua mida ya wangaMsisahau baadaye kuna nusu fainali kati ya Argentina na Colombia kule kwa Copa America…
Imekumbwa kitambo sana tangu kizazi cha akina Thierry Henry, Ruud Van Nistelrooy, Etoo, Drogba, Inzaghi and the like kiondoke wamebaki wakuokota tu kama Lewandoski basi.Dunia ya soka sasa inakumbwa na uhaba wa mastraika
Zaidi ya lumbesa ya viatu, blunder substitution Mancini made, nyambavuAndrea Belotti mzito sana
Naunga mkono hoja yakoImekumbwa kitambo sana tangu kizazi cha akina Thierry Henry, Ruud Van Nistelrooy, Etoo, Drogba, Inzaghi and the like kiondoke wamebaki wakuokota tu kama Lewandoski basi.
Bure kabisaaaaZaidi ya lumbesa ya viatu, blunder substitution Mancini made, nyambavu
Hapo jiandae kwa kesi mzee yaani atasema humjali unajali mpira tena usipo kuwa makini anaweza ata akatafuta baharia fulani ili tu akukomeshe 😂Mie nilikuwa na shemeji yako kaenda kulala nimebaki pekee sebuleni
Wachezaji wetu mafundi wametoka insigne, verrati na barrela watoka na aliyebaki, chiesa kachoka kinyama.Italy wanapelekewa moto
Nakumbuka 2002 Turkey vs Senegal goli la Masinz aisee liliniuma sana.Aah ile sheria bora ilivyo futwa yaanj ukipigwa goli tu mchezo umeisha hapo hapo
Haina kabisa 3rd winner kama UCLAtakayepigwa hapa kesho asubuhi atakuwa anapanda ndege ya kurudi nyumbani
Matita hayana mwenyeweWachezaji wetu mafundi wametoka insigne, verrati na barrela watoka na aliyebaki, chiesa kachoka kinyama.
Na sisi mbinu yetu kwenye hii game ni counter attack with accurate passes.
So hapa labda matuta tu.View attachment 1844002