Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Tanzania kuangamia kiuchumi muda si mrefu.
Nawasilisha.
- Wana JF twambizane kwa nini kuna kitu kinaitwa EURA?
- Kwanini kiwepo? na kisipokuwepo kuna hasara gain kwenye utandawazi wa sasa wa biashara?
- TANESCO Bills wanachukua 1% za nini kwa kila mteja?
- Kwenye mafuta yanayo uzwa kwenye shells wana % zao kwa nini?
- Kwanini EURA wapo kwenye zama za biashara huria?
- Je wajua wafanyakazi wao wanaishi kama wako peponi?(Study tour kwa kwenda mbele kila nchi wanayoifikiria)
- Je wajua kuwa Mgt yao husafiri 1[SUP]st[/SUP] class kwenda study tour Marekani kwenda kula BATA kutoka kwa wavuja jasho wa kitanzani kwenye umeme na mafuta?
- Je mwajua kuwa Board member akimaliza muda wake hupokea 1.5 M/= kama kiinua mgongo kwa mwaka 1 na nusu????????????
- Je mnategemea uchumi wan chi utaimarika kwa kula fedha za watu bila aibu wala huruma?????????
- Je tuombe hii taasisi ifutwe kuwa inaongoza kwa kuwanyonya wananchi kwa gharama sisizo za msingi?
- Tena nasikia wauza mafuta wamegoma kuuza mafuta. Tutarajie nini???? shell zote kwa sasa zimegoma. Chadema mpo? another golden chance ya kuonesha cheche.
Nawasilisha.