EU yammwagia sifa Rais Samia

Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>


Dunia inakukubali mama yetu piga kazi. EU wamempuuza Lissu na yule rafiki yake McAllister wa Kamati ya Bunge ambaye anatoka chama cha CDU cha Ujerumani.

Kwa wasiofahamu, chama cha CDU ndicho kinadhamini Chadema na ni mbia mkubwa wa Chadema. Hivyo kumuona huyo jamaa McAllister anatokwa povu kwa masuala ya Chadema ni kawaida.

Hata hivyo, EU Commission ambacho ndicho chombo kikuu cha Utebdaji ndani ya EU mara zote wanampuuza. Wanajua itikadi yake na maslahi yake binafsi ndani ya Chadema . Viva Rais Samia
 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>


Mama aluta continue
 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>



Daaah CHODOMO hiii mmeelewa maana yake?
 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>

 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>

 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>

 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

<<<Sikiliza mpaka mwisho >>


Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19

EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,

EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,

Sikiliza mpaka mwisho


#Tanzania Kaziiendelee
 
Back
Top Bottom