Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Tutoe shinikizo kwa EU na USA kuwapiga mkwala wa kwenda ulaya na marekani viongozi wote wa CCM pamoja na familia zao kwa wizi wa kura. Haiwezekani watuibie kura halafu waende kujichana kwa pesa zetu.
CHADEMA huu ni wakati wa kuanza kampeni kwa mabalozi na nchi zote marafiki ili hawa wanoko wakione cha mtema kuni.
CHADEMA huu ni wakati wa kuanza kampeni kwa mabalozi na nchi zote marafiki ili hawa wanoko wakione cha mtema kuni.