EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Tanzania sio nchi huru, bali inakaliwa kimabavu na chama kiitwacho ccm bila ridhaa ya umma. Ccm imeendelea kukaa madarakani kwa shuruti kupitia chaguzi za kishenzi, kikatili na kihayawani, huku ccm ikiwa na ushirikiano wa kihalifu kati yake na vyombo vya dola, na tume ya uchaguzi. Sasa hivi wananchi hawajitokezi tena kwa wingi kupiga kura kwakuwa wanaona wazi kuwa box la kura linanajisiwa. Fuatilia uchaguzi mdogo unaoendelea hivi sasa huko Ngorongoro.

Kwa taarifa yako nchi, taifa au umoja wowote ule utakaokuja na kutupa nguvu ya kuondoa ccm madarakani, tutawapa ushirikiano wowote waoutakao kama Walibya walivyotoa ushirikiano kwa US na Ulaya, hadi kumuondoa dictator katili Gaddafi. Hatuko tayari tena kuendelea kutawaliwa na chama kisicho na ridhaa ya umma.

Huyo mama haleti diplomasia yoyote, bali anazurura huko duniani kuhadaa ulimwengu ili uchafu unaondelea hapa nchi usifahamike. Uchafu wote unaoendelea hapa nchini tunaujua sisi wananchi. Wapinzani wamejaa kwenye magereza kwa kesi za kubambikiwa, huyo Mbowe hadi leo yuko gerezani kwa maagizo ya watawala wa CCM, lengo ni kuzuia madai ya kupatikana kwa katiba mpya.
Kwani Katiba Mpya ni kwaajilii ya CHADEMA?

Acheni Mahakama ifanye kazi yake.
 
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
Mateso wanayoyapata watanzania mikononi mwa dola hayakuwshi kupatikana wakati wa mwingereza, huu ndio ukweli.
 
Uchafu wote unaondelea hapa nchini tunaujua, Magufuli hayupo, lakini serikali yote hii ni iliyopatikana kwa maagizo yake. Zile siasa za kishenzi zote alizoziacha zipo,na yote hayo tunayaona kwa macho yetu. Leo hao jumuiya ya Ulaya waje tutawapa na ushahidi wa wazi wa uchafu huo. Ccm wanafanya siasa watakavyo wakati hawako madarakani kwa ridhaa ya umma, na hawataki wengine wafanye siasa kwa mujibu wa sheria. Tunawaomba sana hao jumuiya ya Ulaya wachukue hatua kali dhidi vya serikali hii, tuko tayari kupata taabu lakini sio kutawaliwa na ccm bila ridhaa yetu.
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
 
Hakuna chochote kinachofanywa na hiyo mahakama isiyo huru,maana upuuzi wote unaofanywa na jamuhuri tunauona,na mahakama inaegemea upande huo wa wahuni. Hatuko tayari kuendelea kupotezewa muda kwa watu wasio na hatia, ili kukidhi siasa za kishenzi.ccm hna uhalali wa umma, acheni kujisi mifumo ya nchi hii ili muendelee kukaa madarakani kwa shuruti. Tutatoa ushirikiano kwa nchi yoyote itayochukua hatua kwa utawala huu wa shuruti.
iba MpyHaa ni kwaajilii ya CHADEMA?

Acheni Mahakama ifanye kazi yake.
 
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
Eti unakili kabisa hakuna mtu aliye juu ya Sheria wakati huo huo unakili kuwa viongozi wako wa juu wa serikali na Chama wana Kinga ya kutokushitakiwa kwa makosa yoyote yale!! You guys, are you seriously??

Tunafahamu Mbowe sio malaika na anaweza a kafanya makosa. Basi wekeni Mezani huo ushaidi na sio kufanya ngonjera mahakamani

Mboye kupewa kesi ya ugaidi ni mis calculations. Na inahiweka Tz ktk taswira mbaya sana kimataifa. Kesi ya mbowe ni kesi ya kisiasa. Mbowe anapata hizi tabu zote ni kwasababu ya kukataaa kufuata kauli ya mama ya kutaka suala LA katiba lisubili kwanza Eti atengeneze uchumi kwanza. Watu wakamwingiza mama king kwa interests zao binafsi
 
Mimi hata siwaelewagi chadema lengo na madhumuni ni nini kila kitu wao nikukata tu naona mnapigania maslahi ya viongozi wenu kwa kujificha kwenye kichaka cha kudai katiba na democrasia lengo lenu nikushika dola kwa namna yeyote hata nchi mnaweza kuuza kwa mabeberu mradi nyie mshike dola
 
Kama Mahakama ilitenda haki kwa Lengai Ole sabaya hakika itatenda haki kwa Freeman Mbowe,

No One is above The Low
KWA taarifa yako tunajua mchongo mzima wa sabaya na makonda kushtakiwa ili kuhalalisha mbowe kufungwa!!
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
We jamaa utakua na chuk binafsi na hao uliowaorodhesha!

Sio kwamba hawajali maslah ya nchi na si kwel kwamba walimkimbia magufuli mazima na kwamba unajishangaza kuwa magu hayupo ila Bado wako huko na hawatak kurudi!

Ukwel ni kwamba;
CCM + POLICCM=WATU WASIOJULIKANA WANAOJULIKANA

Hii hoja yako imekaa kimkakati na kimtegomtego hivu ili mtengeneze mazingira ya kuwamiminia risasi Kama mlivyofanya kwa lisu, na Kama jinsi mlivyowatesa makomandoo wasio na hatia yoyote!
ila sote ni watu wazima mbinu inasomeka akilin mwa mwenye akili
 
Back
Top Bottom