EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Kama umesikiliza amesisitiza utawala wa Sheria,kwamba wawakilishi wao waliohudhuria mahakamani wamegundua mashtaka dhidi ya Mbowe hayana Legal basis!
Msitumie kichaka cha utawala wa Sheria kutesa watu,niambie Leo hata wewe unaweza kupewa kesi isiyodhaminika,ukateseka wee halafu mwisho wa siku wanasema hawana Nia ya kuendelea na kesi!Shwain
Hata kichaa anashangaa ugaidi unafanywa kwa gharama za laki 6 pesa za kitanzania ambayo ni kama USD 255!
 
===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
ww upo hapa JF kwa kazi maalum nayo ni

* kuiimba mapambio ya SIFA na KUABUDU

*Kukosoa upinzani katika muktadha wa hali ya juu

*Kusifia CHAMA CHA MAITI (CCM!) hata kama kuona uonevu na ukandamizaji

*Kuhakikisha sifa za sirikali hii zinakuwa leading topics hapa JF

na upuuzi mwinginie .....Its a shame that na uandishi na ka-elimu kako uliko nako hauna uazalendo na true passion kwa nchi yako maana ww ni mtu wa kujali tumbo lako ma si maslahi mapana ya wana-nchi yao.


ila nataka nikuambie tu , Mwisho wenu waja na mtaanguka kwa kishindo kikubwa sanaa na ndipo nchi hii itapata kiongozi mwenye haki na uzalendo wa nchi hii

Fisiemu oyeeee
kidumu chama cha maiti
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
WAtanzania gani unataka wagutuke? Hawa wanaouziwa mafuta ya kula lita 8,000 na petrol lita 2,800?
 
===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
UKITAKA SHERIA IFUATE UKWELI, KWANZA INGEANZA KWA HUYO MAMA YENU, AANZE TOKA KWENYE UCHAGUZI TUONE KAMA ATACHAGULIWA BILA YA MIKIKI YA POLISI; HALAFU NDIYO TUONGELEE ATI SHERIA AU UHALALI. Tuache ushabiki wa siasa kwenye sheria.
 
ww upo hapa JF kwa kazi maalum nayo ni

* kuiimba mapambio ya SIFA na KUABUDU

*Kukosoa upinzani katika muktadha wa hali ya juu

*Kusifia CHAMA CHA MAITI (CCM!) hata kama kuona uonevu na ukandamizaji

*Kuhakikisha sifa za sirikali hii zinakuwa leading topics hapa JF

na upuuzi mwinginie .....Its a shame that na uandishi na ka-elimu kako uliko nako hauna uazalendo na true passion kwa nchi yako maana ww ni mtu wa kujali tumbo lako ma si maslahi mapana ya wana-nchi yao.


ila nataka nikuambie tu , Mwisho wenu waja na mtaanguka kwa kishindo kikubwa sanaa na ndipo nchi hii itapata kiongozi mwenye haki na uzalendo wa nchi hii

Fisiemu oyeeee
kidumu chama cha maiti
Mkuu Uzalendo ni kuisiliba nchi yako nje?

Uzalendo ni kutaka tukose misaada na hali yetu unaijua,

Hebu jaribu kufikiria vizuri,
 
===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229
Pole sana, kilio cha machozi ya kukamua huwa ni kikavu. Upige wewe, ulie wewe.
 
UKITAKA SHERIA IFUATE UKWELI, KWANZA INGEANZA KWA HUYO MAMA YENU, AANZE TOKA KWENYE UCHAGUZI TUONE KAMA ATACHAGULIWA BILA YA MIKIKI YA POLISI; HALAFU NDIYO TUONGELEE ATI SHERIA AU UHALALI. Tuache ushabiki wa siasa kwenye sheria.
Nikweli,

TUACHE USHABIKI WA KISIASA KWENYE SHERIA
 
Kwahiyo ukiwa huru hata kama unafanya mambo ya hovyo Dunia ikuangalie tuu, muwe mnaleta post zenye maana na uposti kitu ukiwa umefikiria kwanza sio unaposti kwa sababu tu una bando
 
===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,
View attachment 2030228

View attachment 2030229

Tanzania sio nchi huru, bali inakaliwa kimabavu na chama kiitwacho ccm bila ridhaa ya umma. Ccm imeendelea kukaa madarakani kwa shuruti kupitia chaguzi za kishenzi, kikatili na kihayawani, huku ccm ikiwa na ushirikiano wa kihalifu kati yake na vyombo vya dola, na tume ya uchaguzi. Sasa hivi wananchi hawajitokezi tena kwa wingi kupiga kura kwakuwa wanaona wazi kuwa box la kura linanajisiwa. Fuatilia uchaguzi mdogo unaoendelea hivi sasa huko Ngorongoro.

Kwa taarifa yako nchi, taifa au umoja wowote ule utakaokuja na kutupa nguvu ya kuondoa ccm madarakani, tutawapa ushirikiano wowote waoutakao kama Walibya walivyotoa ushirikiano kwa US na Ulaya, hadi kumuondoa dictator katili Gaddafi. Hatuko tayari tena kuendelea kutawaliwa na chama kisicho na ridhaa ya umma.

Huyo mama haleti diplomasia yoyote, bali anazurura huko duniani kuhadaa ulimwengu ili uchafu unaondelea hapa nchi usifahamike. Uchafu wote unaoendelea hapa nchini tunaujua sisi wananchi. Wapinzani wamejaa kwenye magereza kwa kesi za kubambikiwa, huyo Mbowe hadi leo yuko gerezani kwa maagizo ya watawala wa CCM, lengo ni kuzuia madai ya kupatikana kwa katiba mpya.
 
Kwahiyo ukiwa huru hata kama unafanya mambo ya hovyo Dunia ikuangalie tuu, muwe mnaleta post zenye maana na uposti kitu ukiwa umefikiria kwanza sio unaposti kwa sababu tu una bando
Mbona unajibu kama ni ujinga?
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom