mahakama zipo huru? ni mpumbavu pekee ndo anaweza kusema hivi.Ngoja mahakama itatoa hukumu, Mahakama zetu ziko huru sana awamu wa Sita
mahakama zipo huru? ni mpumbavu pekee ndo anaweza kusema hivi.Ngoja mahakama itatoa hukumu, Mahakama zetu ziko huru sana awamu wa Sita
Mtaona kwa hili la Mbowe ili muamini We are free state indeedIngekuwa free state, ingekubali mbinyo wa WB, juu ya mtoto wa kike kurudi shule?ambapo mmebadirishia gia angani??"MASIKINI HUWA HANA MSIMAMO WA KUDUMU"huo ndio ukweli, msimamo wenu wa covid 19, uliishia wapi mbona leo umeufyata na kuchukua pesa zao na ndizo zinazojenga madarasa nchi nzima?
Tena kwa uchungu mkubwa sanaKaongea vizuri
Ni jina la bibi ako? mpuuzi wewe nilikuwa nakuona ni dada unayejitambua kumbe ni hovyoMpuuzi ni wewe usiejielewa kabisa nakuonaga humu ndani unavyoongeaga pumba kwanza ondoa hilo jina la babati hatunaga watu wajinga bbt
Nadhani hata wewe ni mpumbafu kidogo, Leo Lengai Ole Sabaya kada wa CCM yuko wapi?mahakama zipo huru? ni mpumbavu pekee ndo anaweza kusema hivi.
Bila wazungu CCM ingetumalizaCCM wanalipeleka taifa letu kubaya sana, asanteni wazungu mnajaribu kuliokowa taifa letu.
Hako ni kamfano tu nimetoa,kujustfy Mbowe anaweza kutenda kosa piaHilo unalilopotezea muda kulisemea la bifu la mbowe na sabaya hai ndio ugaidi? Unajua maana ya ugaidi na unafanyikaje? Na magogo yawekwe Dar,Moro na miji mikubwa ili kupambana na Sabaya
Mbowe achome visima vya mafuta kisa Sabaya?
Nchi isitawalike sio Hai kisa Sabaya
Plan ya kuua viongozi sio kiongozi mmoja
Na mpaka leo kuna kitu kimewasilishwa mahakamani kinachotoa hata chembe ya hicho kilichoelezwa kukata magogo,nchi isitawalike,kuua viongozi na kuchomwa mafuta?
Zaidi wamefanya janja tu ya kujipatia posho za bure za mahakamani wanadhani watz wajinga
Kesho wadai DPP hana Nia hiyo
Ndugu yangu tumia akili kuna Jambo linastahili kumtuhumu mtu Kariba ya mbowe au kiongozi yyt wa kisiasa lakini sio upuuzi huu
Kweni linajifungua,nyie ngojeni Vikwazo ndio mtaelewa.Uchungu kwa Taifa lenu
Wee jamaa km umechoka lala tangu lini bajeti yetu ikawa hivyo labda ya nyumbani kwako inajiyosheleza ingekuwa hivyo tusingekopa ndani na nje kila uchaoBajeti yetu 91.8% ni pesa yetu, Hata hili hujui?
Muda utaongea asante mkuuMtaona kwa hili la Mbowe ili muamini We are free state indeed
Utaelewa nini wewe dada angu?Ndio nini?
Nasiku mkipewa hii nchi lazima mtaiuza aise,Bila wazungu CCM ingetumaliza
So correct kwa mfano mzuriVideo hii hapa sikiliza kwa makini , huwezi kuwa mzazi halafu ukabaka watoto wako kwa madai kwamba una uhuru nao kwa vile ni wanao , tutakushughulikia tu
View attachment 2030284
Wanataka nn hawa jamaaa?===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Bora kuuza kuliko hii hasara ya kuwa mafukara kwa miaka 60Nasiku mkipewa hii nchi lazima mtaiuza aise,
Salute MkuuMpuuzi wewe kila siku mnaenda kuomba misaada mbona hamsemi kama Tanzania ni nchi huru ijitengemee? acha wazungu watusaidie kunyoosha hawa watawala makatili wasiofaa mbele za MUNGU.
Ha ha ha ha kweli donor sie nimeipenda hii mbali sanaHatuwagopi kwa maana sisi ni donor country.Huu ni muendelezo wa vita vya kiuchumi
ushahidi uliotolewa dhidi ya sabaya haukua na mashiko bt kwa mbowe hakuna ushahidi zaidi ya serikali kuendelea kujidhalilisha.Nadhani hata wewe ni mpumbafu kidogo, Leo Lengai Ole Sabaya kada wa CCM yuko wapi?
We are free State Hatufugi Ugaidi hata kidogoNafikiri EU wanafuatilia proceedings mahakamani na hawaridhishwi na baadhi ya maamuzi ya Majaji wetu...tujipange kama taifa..