Wao ni wanasheria?Wamepeleka taarifa kuwa wamebaini mashtaka dhidi ya Mbowe hayana Legal basis!
Ndio maana yake,Hatuwagopi kwa maana sisi ni donor country.Huu ni muendelezo wa vita vya kiuchumi
Free state haitakiwa kukua kimaendeleo?Kama free state kwanini mnapeleka bakuri lenu huko kuombaomba!!
Huwezi jua!Hivi unadhani ubalozini kunakosa wanasheria?Wao ni wanasheria?
CHADEMA ni vibaraka siku zote, Hatushangai, Ila wananchi wameshawakachaHuwezi jua!Hivi unadhani ubalozini kunakosa wanasheria?
Ngoja mahakama itatoa hukumu, Mahakama zetu ziko huru sana awamu wa Sitambowe sio malaika na anaweza kukosea ila kwa ujinga unaoendelea kwenye hii kesi ni mpumbavu pekee anaweza kuunga mkono ujinga ule
Lazima tulinde sheria tulizojiwekea,
Kaongea vizuriVideo hii hapa sikiliza kwa makini , huwezi kuwa mzazi halafu ukabaka watoto wako kwa madai kwamba una uhuru nao kwa vile ni wanao , tutakushughulikia tu
View attachment 2030284
Utasubiri saana hili CHAMA KUBWA life.CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,
Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Mpuuzi ni wewe usiejielewa kabisa nakuonaga humu ndani unavyoongeaga pumba kwanza ondoa hilo jina la babati hatunaga watu wajinga bbtMpuuzi wewe kila siku mnaenda kuomba misaada mbona hamsemi kama Tanzania ni nchi huru ijitengemee? acha wazungu watusaidie kunyoosha hawa watawala makatili wasiofaa mbele za MUNGU.
Mbona kesi alizonuia huyo mtu kabla ya kifo chake mnaziendeleza hata baada ya kifo chake? Kama hizo mnaziendeleza tena Kwa gharana za walipa kodi hao wengine usalama wao mtauhakikishaje? Mnataka warudi ili muwakamate?Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,
Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa
CCM wanalipeleka taifa letu kubaya sana, asanteni wazungu mnajaribu kuliokowa taifa letu.Video hii hapa sikiliza kwa makini , huwezi kuwa mzazi halafu ukabaka watoto wako kwa madai kwamba una uhuru nao kwa vile ni wanao , tutakushughulikia tu
View attachment 2030284
Ingekuwa free state, ingekubali mbinyo wa WB, juu ya mtoto wa kike kurudi shule?ambapo mmebadirishia gia angani??"MASIKINI HUWA HANA MSIMAMO WA KUDUMU"huo ndio ukweli, msimamo wenu wa covid 19, uliishia wapi mbona leo umeufyata na kuchukua pesa zao na ndizo zinazojenga madarasa nchi nzima?===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Hilo unalilopotezea muda kulisemea la bifu la mbowe na sabaya hai ndio ugaidi? Unajua maana ya ugaidi na unafanyikaje? Na magogo yawekwe Dar,Moro na miji mikubwa ili kupambana na Sabaya===
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na
Haki ni gharama, Sheria lazima zilindweMbona kesi alizonuia huyo mtu kabla ya kifo chake mnaziendeleza hata baada ya kifo chake? Kama hizo mnaziendeleza tena Kwa gharana za walipa kodi hao wengine usalama wao mtauhakikishaje? Mnataka warudi ili muwakamate?