KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Ukiwategemea hawa 'imekula kwako'.Hawako serious hawa!
Hata mwizi siku ya kutangazwa atasifiwa na kusema uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Hawa mara nyingi hawana msaada wowote.
Ukiwategemea hawa 'imekula kwako'.Hawako serious hawa!
Unapokuwa wa hali hii unajivunjia heshima mwenyewe.Makabaila yanapambana kurejesha walivyopoteza na Lisu anatumika kuwasaidia kufanikisha mambo yao.
Alishasema ataweka mali zote rehani ili tupewe hela na wazungu.
Lisu ni way kuogopa kama ukoma.
Nini kilicho kupata stroke you used to be intelligent with sound opinions. Mbona unaanza kuleta pumba?Makabaila yanapambana kurejesha walivyopoteza na Lisu anatumika kuwasaidia kufanikisha mambo yao.
Alishasema ataweka mali zote rehani ili tupewe hela na wazungu.
Lisu ni way kuogopa kama ukoma.
Hawako serious hawa!
Wanafiki tu!Hawa nao ni hovyo, hivi hawaoni kinachoendelea hapa nchini?
Acha uongoCCM WAMECHUKUA HELICOPER ZA TPDF KWENYE HANGA ZAKE ZA NGERENGERE NA DAR KUZIBANDIKA STICKER ZA CCM
WAKATI nchi inakabiliwa na vita na moto TPDF imeshindwa kutoa vyombo hivyo kwenda kukagua mlima au kwenda mtwara kwa kiwango cha kutosha huku pia ndege zake nyingi zikiwa grounded kwa kukosa service
na kufanya tanapa waingie gharama kubwa kukodi helicopters
helicopter tatu zina sticker za CCM na nyingine nne kubwa zinakuwa naye kumlinda kama rais wa nchi ... jumla 7
hiii ni kati ya hizo
View attachment 1609146
Acha uongo