Leo saa nne na nusu usiku(saa za Tanzania),etv ya afrika kusini itaonyesha,kuongelea na kuhoji baadhi ya watu mbalimbali kuhusu mauaji ya Albino nchini kwetu.kipindi kitaendeshwa na mtangazaji wa tv hiyo Debora P kwenye kipindi chao kiitwacho 3rd degree.Inavyoonekana wao wanasema mauaji ya hawa ndg zetu bado yanaendeelea.
Nasubiri kuona watakavyoonyesha hali hiyo,na nini impact yake kwa taifa letu mbele ya macho ulimwengu
Mkama
Nasubiri kuona watakavyoonyesha hali hiyo,na nini impact yake kwa taifa letu mbele ya macho ulimwengu
Mkama