Jina lako umefanana nalo mkuu jinga sanaTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Jina lako umefanana nalo mkuu jinga sanaTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Yani huyu jingalao wala hafikirii anapo andika.
Serikali imeshajenga viwanda vingapi hadi sasa?Haimaanishi uwepo wa TIC na uwekezaji ndio tegemeo eti Tanzania itaendelezwa na wawekezaji
Samahani naomba nikutukane kidogoTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Aisee!Unajua hata maana ya investors kweli?Kama nchi haiwezi kuendelezwa na investors,sera ya viwanda tunategemea serikali ndio ijenge au?Mbona mnakuwa wajinga hivi?
MeTLMwekezaji kutoka wapi kaiendeleza marekani??nitajie mmoja
Unatapika hayo huku wewe huna hatumiliki zaidi ya mbupu shweinTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Sio Tanzania tu,hata nchi zinazoongoza kwa uchumi bora na utajiri duniani zinategemea investors sembuse sisi. Usiwe driven na wishful thinking, kuwa realistic. Ni pale tu tutakapokubali ukweli kuwa uchumi utakua kwa kuendeshwa kiuchumi na si kisiasa na kukubali kuwa kwa sasa hutuendi kwenye direction sahihi hovyo tujiangalie tunapokosea,otherwise tujiandae kuendelea kutitia kwenye matope. Sina uhakika during Nyerere era ulikuwa na umri gani lakini usiombe turudi kwenye level ile lakini kwa sasa ndiyo uelekeo tunaoelekea.Haimaanishi uwepo wa TIC na uwekezaji ndio tegemeo eti Tanzania itaendelezwa na wawekezaji
Unaelewa nini kuhusu FOREIGN DIRECT INVESTMENTS (FDIs)?Haimaanishi uwepo wa TIC na uwekezaji ndio tegemeo eti Tanzania itaendelezwa na wawekezaji
Akili nyingine banaTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Ulichagua jina baya kk ! Unajua kwa mujibu wa TIC, tuna wawekezaji wa ndani ,nje na ubia.Tanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Inasikitisha sanaImenibidi nicheke tu hivi kumbe ccm kuna wendawaziku kiasi hiki?
Mkuu inaelekea kinacho ongelewa hapa kwako ni kichina.Tanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Huyo mtu hata neno "investor" halielewi inaonekana.Sasa TIC ya nini?