4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 8,585
- 7,568
Hizo fikra zilituingiza kwny ukoloniSasa kama atuwezi kufanya utafiti wa kugundua dawa, kwa nini tusitumike kwenye majaribio itakuwa ni sehemu ya mchango wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo fikra zilituingiza kwny ukoloniSasa kama atuwezi kufanya utafiti wa kugundua dawa, kwa nini tusitumike kwenye majaribio itakuwa ni sehemu ya mchango wetu
Tunaweza kujitegemea ingawaj wanatulazimxha kuwategemea ili wapate sababu za kutunyonyaHivi Hawa Etoo na huyu mwenziwe wao ndio wamekua wasemaji wa waafrica?
Waafrica ni watu wa ajabu sana, Hatuna mchango wowote kwenye maendeleo ya ulimwengu halafa tunang'ang'ania lazima tupewe heshima sawa. Nikama vile wanawake wanaodai usawa wakati ni tegemezi tu.
Tuache kulalamika.
Soma #7 juu. Hawajali weusi au weupe au buluu, wanapendekeza kuwa na kundi la kulinganisha katika mazingira pasipo na mfumo wa afya kama Ulaya.
Etoo ni superstar wa Chelsea ?
Etoo ni superstar wa Barcelona na inter Milan kule Chelsea alienda kustaafu na kuchukua kiinua mgongo
otherwise naunga mkono hoja ya Etoo
Huwa nakuangaliaga sana unavyobwabwaja.... Sidhani kama unajua mambo kuliko hao etoo, drogba na expert wengine.... Unaandika Africa zero brain huku confidently umepiga nne kwenye kochi la shemu wako unasubiri saa ngapi ifike uzime taa ulale hapo.Punguza jazba dada, ukweli utaendelea kubakia kuwa waafrica ni zero brain. Na ndio mana tutendelea kuwa mkia wa dunia
Wewe wakifanya hivyo utaenda?Labda lisitangazwe dau kwa atakaekubali kufanyiwa majaribio. Ikiwekwa pesa mezani wa afrika tuna msaliti etoo na wenzie mapema sana hata jogoo hajawika
Mkuu hapo kwenye USD tu, ndiyo utashangaa waliokuwa wanapinga wanaenda kimyakimya...Labda lisitangazwe dau kwa atakaekubali kufanyiwa majaribio. Ikiwekwa pesa mezani wa afrika tuna msaliti etoo na wenzie mapema sana hata jogoo hajawika
😀😆😀 waswahili tulivo na njaa tutakuja na sababu kibao usishangae kabisa kumkuta mwanamme anaongea kwa hisia kuwa kwanini majaribio yapelekwe Rwanda wakati Tz imezipigania uhuru nchi kadhaa kusini mwa jangwa la sahara na bado ina vikosi darfur na drc 😀😆Mkuu hapo kwenye USD tu, ndiyo utashangaa waliokuwa wanapinga wanaenda kimyakimya...
Na wakisema hawatafanya Tanzania, mathalani watapeleka majaribio Rwanda na Kenya, watalalamika kwanini chanjo imefanyiwa majaribio Kenya au Rwanda na siyo Tanzania wakati hapa ndiyo chimbuko la kihistoria la mwanadamu linapatikana...
Everyday is Saturday......................
Tunaishi mara mojaWewe wakifanya hivyo utaenda?
K kwa hiyo ndo tusijichunge na hatari za kifoTunaishi mara moja
Wapi umezuiliwaK kwa hiyo ndo tusijichunge na hatari za kifo
Sio mimi narefer kauli yako😎Wapi umezuiliwa
Hata leo wakisema waafrika wacheze soka huko huko kwao bado watalalamika lakini wakitenga mamilioni ya dola kuja kusaidia waafrika Masikini watabaki wanachekelea, wakisema Tunaondoa misaada Afrika kwa sababu Afrika siyo masikini hao hao watapinga kwa kutuma picha za watu walioathirika na vita huko Sudan na Somalia.Yaan waafrica tunapenda lawama sana/ sasa mtoa mada kaanza vizuri lakin mwishoni unaleta chuki zako za waziwazi.