Eto'o Avunja Recodi

Jembajemba

JF-Expert Member
Feb 3, 2007
257
32
Huku mashindano ya kandanda ya taifa bingwa barani Afrika yakiendelea kunoga, Samwel Eto'o wa Cameroon amevunja rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika historia ya mashindano hayo.
Rekodi hiyo iliwekwa na Laurent Pokou wa Ivory Coast mnamo mwaka wa 1970.

Eto'o alifunga bao lake la 15 kupitia njia ya penalti mnamo dakika ya 27 dhidi ya Sudan.

Mechi ilikamilika kwa Cameroon kufunga mabao matatu kwa bila.
 
Hawa wakongwe wa jf wakati sijui kama wapo kipindi hicho ili ucoment hadi uende internet cafe hakuna kuomba picha na lugha ni ya staha kweli
Habari za uongo hazikuwepo sana.
 
Back
Top Bottom