Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Nauliza tu jamani eti wakati tulalapo usiku tukivaa nguo za kulalia hupunguza kasi na hisia za lile tendo? Ni swali tu!
eti roya?
bas utanambioa km nivaege au niache.........!!
madig dig ao wanalalaga na jeans!!!!!!!:yield::yield::yield:
:tape::tape::tape::tape::tape::yield::yield::yield::yield:manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
Waambie besti!..Tena waambie kabisa "KILIMANI SESAME":doh:manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
Kulala uchi noma mara nyumba inawaka moto ucku mzee unatoka nje kuomba msaada kama ulivyozaliwa du cpati picha patakuwaje hapo
manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
Kulala uchi noma mara nyumba inawaka moto ucku mzee unatoka nje kuomba msaada kama ulivyozaliwa du cpati picha patakuwaje hapo
Uzoefu wako ukoje FL1 ama ikulu hairuhusiwi kualala kama ulivyokuja duniani?mada motomoto me thijui