bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Kiongozi hebu toa msimamo wako hapo,
kijana anauliza kipi cha kuangalia,
usimkatishe tamaa bana!!!!!
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Ahahahaaaah!! Nilishtuka kaka, yule Kimada mtata...Aisee kimada umeishamuweka ndani??? lol!!!
ha bari za wikiend JF!
Jamani mimi mwanzoni nilidhani/nilichukulia kua uchumi ndio kigezo kikubwa cha
kuahakikisha nimefaulu kabla ya kuoa. Yaani, angalau hata kama sio kujenga au
kua na mahela mengi lakini angalau niwe na convinient source ya income.
Pamoja na kigezo hiki kubakia na uzito mkubwa lakini kwa sasa nimekiweka cha pili.
cha kwanza kwa sasa ni kuwa au kumpata mtu wa kumwoa.
sikuwah kufikiri kua hii ni bahati, au baraka na si kila mmoja anae/ataepata.
Hivi kwa wewe mJF kigezo kikubwa unachozingatia kabla ya kuoa ni kipi??
Tungekuwa pamoja ungesema ninakuiga! Mimi nimejaribu kusoma soma vitabu na kugundua umuhimu wa hili suala naomba nisharee nawewe ifuatavyo:-
1. Maisha ya ndoa pia huandaliwa kama unavyoandaa hayo mapesa, magari na majumba. Ukisema ukija kupata hayo ndiyo uoe kuoa siyo kuoa tu kama unavyodhani kwa ulimwengu wa sasa ni kazi tete sana hasa kupata wa moyo wako! so unahitaji kuliandaa hili pia kwa wakati huhuu ambao unajipanga na kipato.
2. Ukiangalia katika maandiko ya Mungu kuna mstari unasema hivi: APATAE MKE APATA KITU KILICHO CHEMA, TENA ANAKUBALIKA NA BWANA (MUNGU) Unaweza ukafanya vitu vingi sana peke yako na visiende kabisa, ila ukija kuoa tu tayari mambo yanawiva kila kitu kinaenda sawa bin sawie!
3. Ni nzuri kuja kuyatafuta wote hayo mafanikio unayoyatafuta wewe, kwani mkiyatafuta wote lazima mtayatunza wote, ukiyatafuta peke yako mwenzio akija atatumia vibaya jambo ambalo litaleta ugomvi kwenye ndoa.
4. Ndugu yangu mke ni muhimu sana ukioa wa kwako i mean mnayeshabihiana kwa kila hali. Mimi mwenyewe nalia mno sasa hivi, nahaha kutafuta mwenza lakini sipati kabisa wa kufanana naye. yaani unalia unakuwa kama chizi. Halafu kumbuka ukioa utatulia hata kiakili, watu watakuheshimu zaidi, credibility itaongezeka, tamaa na miwasho itabadilika na kama ni mtu wa Mungu basi njia ya mfanikio kwako ni huyo mke!
Oa kaka na mimi natafuta mke nikimpata tu hata leo naoa soon!
At least niwe na source nzuri ya income!!
At least niwe na source nzuri ya income!!
Kijana aangalie mapenzi hela na nyumba ni matokeo tu ya huko mbeleni unaweza kuwa nazo au usiwe nazoKiongozi hebu toa msimamo wako hapo,
kijana anauliza kipi cha kuangalia,
usimkatishe tamaa bana!!!!!
Hahaha!! Mvinyo mpya kwenye chupa ya zamaniAhahahaaaah!! Nilishtuka kaka, yule Kimada mtata...
Pedjeeeee Fidel mutu ya pakeee mingiZikija kuisha na mpenzi wako atakukimbia na kwenda kwa mapedejee
kwa hiyo unakubaliana na mimi.Kijana aangalie mapenzi hela na nyumba ni matokeo tu ya huko mbeleni unaweza kuwa nazo au usiwe nazo
Hahaha!! Mvinyo mpya kwenye chupa ya zamani
Naweza nikawa na mpenzi tayari lakini siwezi kuingia katika ndoa kama sina uhakika na kipato cha kuniwezesha kubadili mlo...katavi unjua kua unaweza kua na sos nzuri ya kipato na bado usione mtu wa kumwoa??
na hili ndilo linalowatokea wengi. huoni mtu moyo wako ukampenda na kuridhika nae kwa dhati.
na me nafikiri we tyari ushakua kiasi cha kuweza kuona ni jinsi gani ilivyom hatari kuingia katika ndoa bila
kua na uhakika na unalolifanya.
Ahahahaaaah!! Sio pesa nyingi kama za mapedeshee, mimi nikiwa na kiasi kidogo tu cha kuniwezesha kubadili mboga....Zikija kuisha na mpenzi wako atakukimbia na kwenda kwa mapedejee
Yah!! Lakini itabidi uhakikishe una kipato cha kujitosheleza cha kuwakidhi nyie wawili sio unamuoa mtoto wa watu unaenda kumlaza njaakwa hiyo unakubaliana na mimi.
na uli/utafanya hivy katika kuoa!! right?
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Ahahahaaaah!! Sio pesa nyingi kama za mapedeshee, mimi nikiwa na kiasi kidogo tu cha kuniwezesha kubadili mboga....
Yah!! Lakini itabidi uhakikishe una kipato cha kujitosheleza cha kuwakidhi nyie wawili sio unamuoa mtoto wa watu unaenda kumlaza njaa