Eti wazungu wana mapenzi ya dhati kuliko waaafrika, thubutu!

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Feb 26, 2013
2,326
1,314
Kweli watu weusi yamkini hawathamini vya kwao!
Tazama haya na kujiuliza kama ingekuwa ni wazungu ndio wana tabia kama hizi za waafrika, ingekuwaje kwenye ulimwengu wa mapenzi? bila shaka wangekuwa ndio mfano bora wa mapenzi wa dhati!

1.Mzungu akimfumania mpenziwe au hata akisikia kuwa anatendwa, ndio mwisho wa mapenzi yao! Ila mwafrika akimfumania mpenziwe mara nyingi humsamehe na kuendelea na mahusiano yao!
2.Mzungu hawezi kuoa mke zaidi ya mmoja, vilevile mzungu wa kike hawezi kuolewa kwenye ndoa ya mitaala hata iweje, ila mwafrika hana tabu katika hili!
3.Mzungu hawezi kuwasaidia ndugu wa upande wa mwanamke/mwanaume kama watu weusi wafanyavyo, lakini hapa afrika ni aibu kwa mwanaume kutowathamini na kuwasaidia wakwe na ndugu wa upande wa mke!

Sasa naomba kuuliza, hivi mapenzi ya dhati ni yapi? mbona waafrika wana mapenzi ya dhati kuliko wazungu????

WAPI TATIZO LIPO KWA WAAFRIKA?
 
Kweli watu weusi yamkini hawathamini vya kwao!
Tazama haya na kujiuliza kama ingekuwa ni wazungu ndio wana tabia kama hizi za waafrika, ingekuwaje kwenye ulimwengu wa mapenzi? bila shaka wangekuwa ndio mfano bora wa mapenzi wa dhati!

1.Mzungu akimfumania mpenziwe au hata akisikia kuwa anatendwa, ndio mwisho wa mapenzi yao! Ila mwafrika akimfumania mpenziwe mara nyingi humsamehe na kuendelea na mahusiano yao!
2.Mzungu hawezi kuoa mke zaidi ya mmoja, vilevile mzungu wa kike hawezi kuolewa kwenye ndoa ya mitaala hata iweje, ila mwafrika hana tabu katika hili!
3.Mzungu hawezi kuwasaidia ndugu wa upande wa mwanamke/mwanaume kama watu weusi wafanyavyo, lakini hapa afrika ni aibu kwa mwanaume kutowathamini na kuwasaidia wakwe na ndugu wa upande wa mke!

Sasa naomba kuuliza, hivi mapenzi ya dhati ni yapi? mbona waafrika wana mapenzi ya dhati kuliko wazungu????

WAPI TATIZO LIPO KWA WAAFRIKA?
  1. does this apply to men wakigundua wake zao wamecheat?
  2. they practice monogamy, kwao polygamy is actualy illegal. pia mapenzi sio upatu, haugawanyiki
  3. wazungu believe in personal responsibility. y shud i help a grown man capable of work while i have mortgage, college fund, bills to pay
nasikia kuna wanaume wanawatelekeza wake zao wakizaa watoto wenye disability, hapo mapenzi ya dhati yapo?
 
Wazungu wako straight hawana mapnz ya kudanganyana,kupotezeana mda na kuendekeza huo ujinga wa mtu nyeusi hapo

So wana mapnz ya dhati na watu weusi wana mapnz ya kitumwa
 
  1. does this apply to men wakigundua wake zao wamecheat?
  2. they practice monogamy, kwao polygamy is actualy illegal. pia mapenzi sio upatu, haugawanyiki
  3. wazungu believe in personal responsibility. y shud i help a grown man capable of work while i have mortgage, college fund, bills to pay
nasikia kuna wanaume wanawatelekeza wake zao wakizaa watoto wenye disability, hapo mapenzi ya dhati yapo?
kabla hata sijahangaika kujibu nataka kujua kama hao wazungu
wanafanya/hawafanyi hivyo vitu sababu ni wazungu au kuna sababu zingine?
haiwezi kua ni education? haiwezi kua ni environment? au years of tradition?
mtu mweusi akiingia mazingira hayo hawezi ku-behave kama hao wazungu?
au hakuna wazungu wanao behave kama watu weusi? (think of mormons)
Those behaviors are not linked to rangi ya ngozi, alete kwanza sababu za kweli
 
Wazungu wako straight hawana mapnz ya kudanganyana,kupotezeana mda na kuendekeza huo ujinga wa mtu nyeusi hapo

So wana mapnz ya dhati na watu weusi wana mapnz ya kitumwa

utumwa kawan analazimishwa kupenda? si ametaka mwenyewe! hayo ndio mapenzi ya dhati yenyewe sasa, muache kushoboka na vya wazungu! angekuwa ni mzungu ndio ainaya mapenzi walionayo waafrika, inagalikuwa na mtazamo mwingine!
 
wewe waafrika hawana sio wakweli kwenye mapenzi,most of them.Wazungu wana mapenzi ya kweli,yakiisha mnaachana,ila mweusi anapiga huku na kule yumo tu.
Mambo ya kusaidia ndugu hata mimi siyafagilii kwa sababu kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe,kama huwezi kuleana kutunza usizae
 
Ng'ombe anaetoa maziwa mengi anaitwa ng'ombe wa kizungu, mti wa mwembe unaoanza kuzaa mapema mnauita mti wa kizungu, mnazi unaoanza kuzaa ndani ya miaka miwili mnauita mnazi wa kizungu! Iteni na inzi wa chooni inzi wa kizungu basi ili tujue moja
 
wewe waafrika hawana sio wakweli kwenye mapenzi,most of them.Wazungu wana mapenzi ya kweli,yakiisha mnaachana,ila mweusi anapiga huku na kule yumo tu.
Mambo ya kusaidia ndugu hata mimi siyafagilii kwa sababu kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe,kama huwezi kuleana kutunza usizae

Napata uoga kusapot hii post yako kwasababu mm nilikuwa sina nyuma wala mbele akaja uncle kanipa support from grass root to hero.......................sasa ninampango wa kununua helcopta kama ya mbowe na uncle wangu kachoka now lkn kwasababu ya wema alionitendea anakula bata tu toka kwangu. Ninachosema ni kwamba mazingira yetu yanaruhusu watu kusaidiana
 
Ng'ombe anaetoa maziwa mengi anaitwa ng'ombe wa kizungu, mti wa mwembe unaoanza kuzaa mapema mnauita mti wa kizungu, mnazi unaoanza kuzaa ndani ya miaka miwili mnauita mnazi wa kizungu! Iteni na inzi wa chooni inzi wa kizungu basi ili tujue moja

ile fastafasta au ile nzurinzuri ndio sie waafrika tunaiita ya kizungu, kweli wazungu waache kutuita bara la giza kwa staili hii??? wache watuite we desrve kwa kweli!
 
Napata uoga kusapot hii post yako kwasababu mm nilikuwa sina nyuma wala mbele akaja uncle kanipa support from grass root to hero.......................sasa ninampango wa kununua helcopta kama ya mbowe na uncle wangu kachoka now lkn kwasababu ya wema alionitendea anakula bata tu toka kwangu. Ninachosema ni kwamba mazingira yetu yanaruhusu watu kusaidiana
kuna wengine anazaa yeye halei.kazi yake ni kuwaambia wanae nendeni kwa baba yenu mdogo,sasa huyo baba mdogo nae ana familia?kwa kweli tubadilike,kulea ni jukumu la aliezaa sio kutupia mpira ndugu zake
 
Napata uoga kusapot hii post yako kwasababu mm nilikuwa sina nyuma wala mbele akaja uncle kanipa support from grass root to hero.......................sasa ninampango wa kununua helcopta kama ya mbowe na uncle wangu kachoka now lkn kwasababu ya wema alionitendea anakula bata tu toka kwangu. Ninachosema ni kwamba mazingira yetu yanaruhusu watu kusaidiana

na ndio mapenzi ya dhati hayo, au kuna la zaidi???
 
Wazungu wako straight hawana mapnz ya kudanganyana,kupotezeana mda na kuendekeza huo ujinga wa mtu nyeusi hapo

So wana mapnz ya dhati na watu weusi wana mapnz ya kitumwa
Ongezea na hili, Waafrika wana mapenzi na HELA wazungu wana mapenzi na Mtu...Mke wa Rais wa Urusi akihisi mumewe na mahusiano flan nje anaomba talaka chap, angalia pia misukosuko alowahi kupata Bill Clinton kwenye ndoa yake kwenye ile kashfa, Lakini mke wa rais weko atasikia kwa masikio yake waziri fulani mwanamke anasema "rais huyu tunajuana nae kwa undani kabisa ndo maana kaniweka hapa" lakini mkewe halalamiki. Ni mwanamke gani wa kitasha atakubali ujinga ujinga anaofanya Jacob Zuma na kuendelea kuishi nae? Jafarai anaishi na Shy-Rose kwa ajili ya pesa!! (Ila ni mvumilivu) lakini Billionea Abromovic kaachwa na mkewe shauri ya ujinga ujinga ....TATIZO LETU NJAA MINGI!!!!
 
kabla hata sijahangaika kujibu nataka kujua kama hao wazungu
wanafanya/hawafanyi hivyo vitu sababu ni wazungu au kuna sababu zingine?
haiwezi kua ni education? haiwezi kua ni environment? au years of tradition?
mtu mweusi akiingia mazingira hayo hawezi ku-behave kama hao wazungu?
au hakuna wazungu wanao behave kama watu weusi? (think of mormons)
Those behaviors are not linked to rangi ya ngozi, alete kwanza sababu za kweli
its for the bolded reasons

nani atatelekeza, mzungu au mwafrika?
waafrika!! nimesoma mara kadhaa kwenye gazeti, redio. mama kaachiwa watoto diabled because yeye ni ''mkosi''. mwanaume anasepa kuepuka 'mkosi kwenye ukoo'

kuna wengine anazaa yeye halei.kazi yake ni kuwaambia wanae nendeni kwa baba yenu mdogo,sasa huyo baba mdogo nae ana familia?kwa kweli tubadilike,kulea ni jukumu la aliezaa sio kutupia mpira ndugu zake
mke atafute yeye, kuzaa azae yeye, kulea nilee mimi; majanga mbona majanga
 
Ngoja Natalia aamke atatueleza vizuri...bahati nzuri huwa hafichi
 
Last edited by a moderator:
bamia's vs libolo's
mie nkifikiria hivyo tu huyo mzungu hata aweje lazima nimpe za uso.
 
Sidhani kama ni tofauti genetically, bali culturally. Wazungu sababu ni jamii ya watu ambao wamekuwa wakizunguka na kuhamahama dunia nzima wamkuwa na exposure na watu wengi kwa miaka na miaka ambayo imewawezesha kuondokana na fikra ndogo ndogo za "kimila", na kufikiri zaidi kuheshimu utu, watu, na kujiheshimu.

Ndio maana watu wakichitiana na ikajulikana, kila mtu anachukua time yake, maisha yanaendelea. Hakuna cha "ndugu watatuonaje tukiachana, watu watanicheka nikiachika" ambayo ni mentality ya watu vijijini/kwenye jamii isiyo na watu wengi, wasiohama, wanaofahamiana toka unazaliwa hadi unaenda kaburini. Ukiwa mjini huwajui hata majirani sababu watu wako milioni++


Kumbukeni uzunguni kuna sheria zinazowabana watu kujishughulisha. Usipofanya kazi, huli. Ukizaa hovyo, serikali inakubana ulipie Child Support. Huwezi kukimbia majukumu yako utapatikana tu. Huwezi kusema utalima shamba ulishe familia, na wewe kama mtu mzima mwenye akili na afya huwezi kubweteka unazaa wengine wanakulelea watoto. Ni aibu kubwa. Tofauti yetu Afrika ni tunaendekeza kusaidia sababu tumefundishwa kuwa ndugu anasaidiwa, na kama husaidii wewe ni mchoyo na ni mtu mbaya na utalaaniwa. We care too much about what people think about us.
That said nina rafiki yangu mfaransa ana babu yake alikuwa anazaa na kuacha familia huko vijijini ufaransa. Msione wazungu kwenye TV tuu. Wanamatatizo yao na wao wenyewe si miungu. Ni hii miaka ya karibuni mambo yameanza kunyooka nyooka kidogo, in time mambo yatabadilika nyumbani kadri watu wakizidi kujichanganya.
 
Ng'ombe anaetoa maziwa mengi anaitwa ng'ombe wa kizungu, mti wa mwembe unaoanza kuzaa mapema mnauita mti wa kizungu, mnazi unaoanza kuzaa ndani ya miaka miwili mnauita mnazi wa kizungu! Iteni na inzi wa chooni inzi wa kizungu basi ili tujue moja

Kaka inzi wa kizungu wapo, wakubwa wana rangi ya kijani.
 
Back
Top Bottom