St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,629
- 4,504
Huyo simtaki mie nataka hendisamu boi
Sema tena mama,weusi wangu ni utukufu huu
utanizoea tu,usihofu.........
Huyo simtaki mie nataka hendisamu boi
<br>vipi kaka unapenda madabwada kina <strong><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=39766" target="_blank">Kongosho</a></strong> na <strong><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=59305" target="_blank">Zinduna</a></strong>?
Ka ndo hivyo bac nami nahitaji kuajiriwa lol....
Kwa hyo kama ni ajira,mume ndo mwajiri.
Acheni hzo.
duh.. Sasa kila anayetaka kukupa ajira unamkosoa! Mbona unadharau ajira jamani!!
Usinambie.
Ila shost c nimeambiwa kuwa hakuna dawa ya mapenzi?
Ya wapi tena.
Povu la nini shem?
Na mishipa ya shingo imekudinda kisa ?
Mbona kuna vijielementi vya ukweli hapa ?
Mjini hakuna kinachokosekana. Shauri yako. Wenzio twala bata tu tena wa kuchoma
Mamii Madame B ruksa,tiririka tu.