Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,285
Weka fensi MkuuNdioo humjui kaanzia wapi tumehamia tu akaanza kukata ndizi nazinadondokea kwenye paa la nyumba yetu yaani unamkuta mtu hana haya anaamka saa moja watu wamelala anakata ndizi inadondokea kwenye paa tunaamka tunakuta ndizi imepasua sahani na vikombe huko nyuma imedondoka pah baada ya kuamsha watu.
Sio hiyo tu anaweza kutupa mawe juu ya bati tena makubwa kama gharika au anaacha majani ya migomba kwenye ukuta wetu hivi huyu mtu anataka nihame kwangu?
Ni kwangu aache maneno anaweza kukata bomba anasema ni mimi eti nilipe anataka maji aunanasingizia niwatoto wangu namuda huo wapo shule .
Huyu bibi anasifa sana sijui shida nini?
Hana hata shida basi tu .
Nimenyamaza sasa ngoja nikamwonyeshe .