katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Ndugu zangu za usiku huu nimekosa usingizi, kisa watoto wangu na dada wakazi wamekula kichani cha ndizi kilichodondoka juu ya bati letu.
Kisa kilianza hivi kuna mmama mmoja nilitoka kumwambia ndizi zake ache kulemezea kwangu akakataa, sasa kuna ndizi moja ililemea ukuta wangu nikamueleza akasema sina shida nayo hata ikiiva nile nimpe mgomba tumekaa muda ndizi kweli ikaiva.
Sikuwepo watoto wakaanza kula kufika kichani akaja akawaita nani amewapa ndizi zangu mmoja akajibu ni wewe bibi. Kivipi akamkumbusha alivyoniambia now ni makelele na ametaka kuikata wakamwambia aache kwanza waniite.
Sikuwa home nilipoingia home akaanza kusema watoto wangu wataona na ndizi hawatapata choo nimeita balozi jibu ni kwamba ndizi imekatwa na akapewa yeye kilichobaki ila hili neno linanikosesha raha WATOTO WANGU HAWATAONA CHOO NAWATAONA.
Watoto ni wadogo eti 4 years to 2 years? Nimechoka je hii ni sawa kutishia watoto wadogo hivyo? Seriously?
Naombeni ushauri kweli njia Pandaa
Kisa kilianza hivi kuna mmama mmoja nilitoka kumwambia ndizi zake ache kulemezea kwangu akakataa, sasa kuna ndizi moja ililemea ukuta wangu nikamueleza akasema sina shida nayo hata ikiiva nile nimpe mgomba tumekaa muda ndizi kweli ikaiva.
Sikuwepo watoto wakaanza kula kufika kichani akaja akawaita nani amewapa ndizi zangu mmoja akajibu ni wewe bibi. Kivipi akamkumbusha alivyoniambia now ni makelele na ametaka kuikata wakamwambia aache kwanza waniite.
Sikuwa home nilipoingia home akaanza kusema watoto wangu wataona na ndizi hawatapata choo nimeita balozi jibu ni kwamba ndizi imekatwa na akapewa yeye kilichobaki ila hili neno linanikosesha raha WATOTO WANGU HAWATAONA CHOO NAWATAONA.
Watoto ni wadogo eti 4 years to 2 years? Nimechoka je hii ni sawa kutishia watoto wadogo hivyo? Seriously?
Naombeni ushauri kweli njia Pandaa