hiyo ni mojawapo ya sababu.....kuna vitu kama kubeti, pool table, sinema za mitaani, visingeli, games nakadharika.......kwa mtoto ambaye ana nia ya kusoma kwa sehemu kama Dar es Salaam in access ya material mengi, walimu DSM wapo, Tuition zipo libary zipo ....vitabu vipo .....kwa shule sita za DSM kushika mkia lazima kuna tatizo....ungeniambia sehemu ambazo zipo vijijini kushika mkia ndio unaweza ukamtafuta mchawi serikalini....ila kwa hili la DSM lazima tukubali kuwa wazazi wanawajibu wa kuwafuatilia watoto wao.
matamasha ya(redio pendwa) cloud fm ndio chanzo! mara xkull bash,mara fiesta,mara soka bonanza,mara beach party,shilawadu family day,mara bibi bomba nk nk
matamasha ya(redio pendwa) cloud fm ndio chanzo! mara xkull bash,mara fiesta,mara soka bonanza,mara beach party,shilawadu family day,mara bibi bomba nk nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.