Eti wanawake wa Kimanyema ndiyo wanaongoza

Zinduna

JF-Expert Member
Nov 6, 2011
2,378
3,379
swell-backside-from-size-4-to-size.jpg


Juzi kati niliwakuta vijana fulani pale mtaani kwetu wakibishana kwamba ni kabila gani huko bara wanawake wanaongoza kwa kuwa makalio makubwa.

Kijana mmoja ambaye aliishi huko bara alidai kwamba kabila ambalo wanawake wamejaaliwa hizo neema za Allah ni wanawake wa Kimnyema.

Mwingine alidai ni wanawake wa Kinyakyusa, lakini hata hivyo wengi waliunga mkono kwamba wanawake wa kimayema Mashaallah kwa neema za Allah.

Hebu nitoeni tongo tongo, jambo hili lina ukweli kiasi gani?
 
Sidhani kama umbo la mtu hasa makalio yanasababishwa na sehemu alikotoka, ni umbo tu la mtu.
 
Mbona wanawake wa Kichaga hususan wa Kimachame wengi ni Flat Screen, awana neema za Allah?

Wapo baadhi wako vizuri lakini japo wengi wanamiguu ya redbull kutokana na kupanda milima kutokana na geographia ya eneo wanalotoka, sasa kuhusu flatscreen labda waje waseme wanapenda kukalia nini?
 
Wapo baadhi wako vizuri lakini japo wengi wanamiguu ya redbull kutokana na kupanda milima kutokana na geographia ya eneo wanalotoka, sasa kuhusu flatscreen labda waje waseme wanapenda kukalia nini?

Wanapenda sana kulaza watoto kwa mgongo wakiwa wachanga.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom