Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Wataalamu fulani walikuwa kwenye kongamano la tabia za watu na mitambo.
Mtoa mada mmoja alisimama kelezea tofauti kati ya mwanamke na simu ya mkononi. Alisema, mwanamke ni kama simu ya mkononi kwa sababu: Inaongea muda wote, ina gharama sana kuitumia, inasumbua wakati mtu akiwa bize na mambo yake, na ukiwa na shida ya dharura unaambiwa hakuna huduma
Mtoa mada mmoja alisimama kelezea tofauti kati ya mwanamke na simu ya mkononi. Alisema, mwanamke ni kama simu ya mkononi kwa sababu: Inaongea muda wote, ina gharama sana kuitumia, inasumbua wakati mtu akiwa bize na mambo yake, na ukiwa na shida ya dharura unaambiwa hakuna huduma