Eti wanawake ni kama simu ya mkononi!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Wataalamu fulani walikuwa kwenye kongamano la tabia za watu na mitambo.

Mtoa mada mmoja alisimama kelezea tofauti kati ya mwanamke na simu ya mkononi. Alisema, mwanamke ni kama simu ya mkononi kwa sababu: Inaongea muda wote, ina gharama sana kuitumia, inasumbua wakati mtu akiwa bize na mambo yake, na ukiwa na shida ya dharura unaambiwa hakuna huduma……
 
<i><b><span style="font-family: century gothic"><font size="4"><font color="#000000">Wataalamu fulani walikuwa kwenye kongamano la tabia za watu na mitambo.</font><br />
<br />
<font color="#000000">Mtoa mada mmoja alisimama kelezea tofauti kati ya mwanamke na simu ya mkononi. Alisema, mwanamke ni kama simu ya mkononi kwa sababu: Inaongea muda wote, ina gharama sana kuitumia, inasumbua wakati mtu akiwa bize na mambo yake, na ukiwa na shida ya dharura unaambiwa hakuna huduma……</font></font></span></b></i>
<br />
<br />
Hahahahaaa duuh ikisumbua akati we uko bize unaizima,, hapo kwenye shida ya dharura ninoumer utaambiwa mtandao unasumbua teh teh teh.
 
&lt;i&gt;&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: century gothic&quot;&gt;&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;font color=&quot;#000000&quot;&gt;Wataalamu fulani walikuwa kwenye kongamano la tabia za watu na mitambo.&lt;/font&gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;font color=&quot;#000000&quot;&gt;Mtoa mada mmoja alisimama kelezea tofauti kati ya mwanamke na simu ya mkononi. Alisema, mwanamke ni kama simu ya mkononi kwa sababu: Inaongea muda wote, ina gharama sana kuitumia, inasumbua wakati mtu akiwa bize na mambo yake, na ukiwa na shida ya dharura unaambiwa hakuna huduma……&lt;/font&gt;&lt;/font&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;
mna laana nyie, waheshimuni mama zenu
 
Hayo ni maoni yake tu, mimi sioni kama ni sahihi hata kidogo, kuna aina ya udhalilishaji hapa! Mbona sisi tunapoitwa ATM tunakuwa wakali? No mtoa mada pls and pls hawa ndio wazazi na walezi wetu, tusiwashushie hadhi kiasi hicho: Haya nayo pia ni maoni yangu tu, labda kwa sababu sijanywa chai bado!
 
Acha Jazba kaka......... huo ni mfano tu
hahahahahaaaa Mpwa bhana mifano yako kama ya mwalimu wa vodafasta (duh, na mimi nimeidhalilisha fani ya mtu) ni mfano tu kumbe! naenda kunywa chai kwanza halafu nifuatilie account yangu NMB, sijui leo ntaipata? nina mwezi wa tatu sasa, hio ATM CARD nadhani itamaliza mwaka kuipata!
 
Saa nyingine watu mnafikiri kusiko kabisa ....... Kwa hiyo hata mama yako unamfananisha na simu ya mkononi? ukijibu tutaendelea
 
hahahahahaaaa Mpwa bhana mifano yako kama ya mwalimu wa vodafasta (duh, na mimi nimeidhalilisha fani ya mtu) ni mfano tu kumbe! naenda kunywa chai kwanza halafu nifuatilie account yangu NMB, sijui leo ntaipata? nina mwezi wa tatu sasa, hio ATM CARD nadhani itamaliza mwaka kuipata!

Mie nilidhani nimeiweka hii post kwenye Jokes..................Au nimekosea sijaiweka mahali pake......!?
 
Saa nyingine watu mnafikiri kusiko kabisa ....... Kwa hiyo hata mama yako unamfananisha na simu ya mkononi? ukijibu tutaendelea

Jamani jamani...... Mie nimenukuu tu kutoka kwa mtoa mada... mbona mnakuwa na jazba.......... siyo mimi niliyesema....ebo!
 
Back
Top Bottom