- Thread starter
- #21
Rais wa Dar aliyeijulia Dar ukubwani lakini leo hii haachi kutamba kwa jeuri kwamba atawahamisha watu kwenye mkoa wake!!Aisee tumeliwa na Rais wa Dar mchana kweupeee
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Rais wa Dar aliyeijulia Dar ukubwani lakini leo hii haachi kutamba kwa jeuri kwamba atawahamisha watu kwenye mkoa wake!!Aisee tumeliwa na Rais wa Dar mchana kweupeee
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Ahsante...Hii michezo mbona watu tulishaijuaga kitambo sana. Kwahyo sisi tunaangalia tu, mtoto wake mwenyew alimuachia uhuru wa kufanya lolote sasa kaona anakaliwa kichwani km siyo kunyewa ndio kashtuka. Anaetoa pongezi ana matatizo ya ubongo
Makonda sabuni ya kumsafisha hapa Tanzania haipo mkuu,labda tuagize toka ughaibuni.Mtoa mada una kichwa cha panzi na unatakiwa kukumbushwa kubakiza akiba ya maneno, uchafu unaorusha kwa Makonda wewe mwenyewe utakuja kuusafisha. Kumbuka ya Lowasa.
Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo na kubatizwa mleta mabadiliko wa Ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni KUNYONGWA huyu Mnyingaji ANYONGWE TU! Atapongezwa AKITEKELEZA alichosema kuhusu UTAWALA wa Sheria! HUYU DAB: mosi, alipe kodi stahiki kisha achukue chake, pili ASHTAKIWE kwa kukwepa KODI na kusema UONGO na TATU, afutwe kazi kwani ameiabisha Taasis yake ya Uteuzi! Kinyume na hapa HAPONGEZWI Ntu hapa! Kukiri hadharani HAITOSHI!Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni”?!!
Hapa natoa haki! Angalau kwa hili nakupongeza Mheshimiwa Rais! Nampongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukiri hadharani kwamba, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mheshimiwa Paul Makonda ni FRAUD!
Kwa hiyo CCM ndiyo chaka la mafisadi???Mbona rais wenu anajigamba kupambana na mafisadiMtoa mada una kichwa cha panzi na unatakiwa kukumbushwa kubakiza akiba ya maneno, uchafu unaorusha kwa Makonda wewe mwenyewe utakuja kuusafisha. Kumbuka ya Lowasa.
Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo na kubatizwa mleta mabadiliko wa Ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la nn sasa, umeambiwa amsifie Raisi kwa lipi?? Kuna sehemu kampaka matope makonda hapo we kweli unakichwa cha mbuziMtoa mada una kichwa cha panzi na unatakiwa kukumbushwa kubakiza akiba ya maneno, uchafu unaorusha kwa Makonda wewe mwenyewe utakuja kuusafisha. Kumbuka ya Lowasa.
Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo na kubatizwa mleta mabadiliko wa Ufipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuelimilishwa hapa. Ni ipi tafsiri ya ccm kuhusu ufisadi?Kwa hiyo CCM ndiyo chaka la mafisadi???Mbona rais wenu anajigamba kupambana na mafisadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nashangaa...Ale matapishi yake mwenyewe kwani wakati anakula na Makonda sie alitualika ?
Sasa kavimbiwa anataka tutapike naye ?
Asifiwe kwa lipi ?
Asalalee!