Kivipi mkuu,embu nidadavulie
I Certificate ya miaka miwili kwa sasa ila nyuma ilikuwa miaka mitatu.Habari wadau nijuzen kuhusu hii kitu maan mm ni mgeni wa hii kitu.
Kumbe bas kama ndio hivy n dili mkuuLabda uwe unapima viwanja
Mkuu kwenye real estate planning kuna fursa sana hasa ukipata kampuniKumbe bas kama ndio hivy n dili mkuu
Sahihi mkuu we umepiga koz hii nini?Mkuu kwenye real estate planning kuna fursa sana hasa ukipata kampuni
Mkuu ila naskia na hii koz uwa wanafundishwa issue za raman kama kudesign nyumba au imekaaje hapoMkuu kwenye real estate planning kuna fursa sana hasa ukipata kampuni
Sio ku design nyumba, ni ku designe mipango miji. Yaani nyumba zikaeje, barabara za mitaa, huduma za kijamii Eg. Shule, Masoko, Hospitali, Michezo. Nyumba za ibada, Stand na kila kitu hadi miji ikae mkao mzuriMkuu ila naskia na hii koz uwa wanafundishwa issue za raman kama kudesign nyumba au imekaaje hapo
Hapana mm sipo hukoSahihi mkuu we umepiga koz hii nini?
Ok mkuu lkn nimeangalia prospectus ya Chuo cha ardhi sasa hiv nimeon kuwa wanasomo la building design,sasa hap imekaaje mkuuHapana mm sipo huko
Iyo module tuu. Elewa jina la CourseOk mkuu lkn nimeangalia prospectus ya Chuo cha ardhi sasa hiv nimeon kuwa wanasomo la building design,sasa hap imekaaje mkuu
Ok je na mtu akijiongeza mwenyew siitakuwa fresh mkuu.Iyo module tuu. Elewa jina la Course
Kujiongeza how. Iyo kazi ya buildings Design ni ya ArchtectureOk je na mtu akijiongeza mwenyew siitakuwa fresh mkuu.
Kuna jamaa nilimcheki amesema kuw watu wa urban wanaruhusiw kudesign nyumba ila isiwe n gorofa tu,sasa cijui amenidanganyaKujiongeza how. Iyo kazi ya buildings Design ni ya Archtecture
kujionge hipo hiv mm nadhan hata hawa wa urban wanatumia vitu kama archcad au autocad kudesign michoro,sasa hauon kama mtu wa urban anauwezo pia wakudesign nyumbaKuna j
Kuna jamaa nilimcheki amesema kuw watu wa urban wanaruhusiw kudesign nyumba ila isiwe n gorofa tu,sasa cijui amenidanganya
Mm sijui. FuatiliaKuna j
Kuna jamaa nilimcheki amesema kuw watu wa urban wanaruhusiw kudesign nyumba ila isiwe n gorofa tu,sasa cijui amenidanganya
Ok mkuu,sasa mkuu saa mbona kuna jamaa aMm sijui. Fuatilia
Sasa mkuu kama kaz ya building design n ya architecture sasa mbon kuna jaama mmoja amepiga koz ya quantity survey anadesign nyumba vizuri tu sasa hap imekaaje.Mm sijui. Fuatilia