Huwa nashangaa mantiki ya kuwa na serikali iwapo wachina na wageni wengine wanaingia na kujichimbia madini yetu kiholela huku wawekezaji wakichukulia watakavyo. Je nini mantiki ya kuwa na serikali isiyofanya lolote kuhakikisha usalama mali na raslimali zetu?
Kazi ya serikali yetu ni kukusanya kodi (toka kwa wachovu; wenye uwezo wa kiuchumi mkubwa wachache wanalipa kodi wanayotakiwa)na kutumia makusanyo ya kodi hiyo pamoja na misaada toka kwa WAHISANI (mabasha) KUTUIBIA moja kwa moja au/na kushirikiana na WACHUKUAJI aka wawekezaji!