BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Mimi ni mhitimu wa UDOM kwa mwaka 2011. Tuliambiwa tulipie Tsh 45,000/= kukiwa na mchanganuo wa Tsh. 25,000/= kwa ajili ya malipo ya majoho na Tsh. 20, 000/= kama dhamana ya Joho, yaani itarudishwa baada ya kurudisha Joho. Cha kushangaza ni kwamba toka mwaka huo wa 2011 hadi tarehe ya leo hatujarudishiwa hiyo 20,000/= zetu Piga mahesabu mwenyewe-tulikuwa zaidi ya wanafunzi 5000 kwa kadirio la chini then uzidishe mara 20,000/=
Kama sijakosea itakuwa ni 10,000,000/=
Kama sijakosea itakuwa ni 10,000,000/=