Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
PS wa Treasury anasema eti tunakusanya sh. 5 trillion lakini tunatumia 10 trillion? Na hiyo deficit ni mikopo ya nje na misaada. Jamani wakuu hii ni kitu gani lakini?
Eti deni la nchi limepanda toka Dola 7.53 Billion by June 2009 hadi 8.25 Billion kufikia leo , yaani ndani ya miezi sita tu tumekopa mihela ya hatari .
Jesus Christ.!!!!
KIKWETE - lile chaguo la Mungu ndio hili.
Yaani tunaishi kwa mikopo na misaada kwa asilimia 50%? Nasikia kufa kufa kabisaaaa. KWISHNEI
Eti deni la nchi limepanda toka Dola 7.53 Billion by June 2009 hadi 8.25 Billion kufikia leo , yaani ndani ya miezi sita tu tumekopa mihela ya hatari .
Jesus Christ.!!!!
KIKWETE - lile chaguo la Mungu ndio hili.
Yaani tunaishi kwa mikopo na misaada kwa asilimia 50%? Nasikia kufa kufa kabisaaaa. KWISHNEI