qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Hivi TCRA wapo wanafanya kazi? makampuni ya cm yanaibia watu kwa kutoa matangazo kuwa unatuma PESA bure kupitia Mpesa wakati ni uongo na jamaa wa TCRA wanakwenda kazini kila siku nao wanapokea hizo SMS? kwakweli ningeomba wawekezaji dunia nzima wanaotoka kupata faida kwa KUIBIA WATEJA waziwazi waje katika JAMHURI YA MUUNGANO WA (t)DANGANYIKA.
-re-enw[wmm sana
-re-enw[wmm sana