Umuhirindahu
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 349
- 168
Jaman mi nashindwa kuelewa hizi kampuni za simu,nashangaa unapokea meseji -tangazo muhimu kutoka vodacom,namba yako ya simu imechaguliwa kushinda sh...,ili kushinda tuma neno....kwenda namba...,hapa najiuliza maswali yafuatayo
1. Kama kigezo cha kuichagua namba yangu kupata zawadi ni kwasababu mimi ni mteja wa uhakika kwanini mnipe masharti ya kutuma neno .... kwenda namba ...
2. Siyo kwamba kwa kufanya hivyo mnatuingiza katika mtego wa kuunganishwa katika huduma flani mnazotoa pasipo kupata ridhaa ya mteja?
3. kwan kumpa mtu zawadi lazima umpe masharti?
1. Kama kigezo cha kuichagua namba yangu kupata zawadi ni kwasababu mimi ni mteja wa uhakika kwanini mnipe masharti ya kutuma neno .... kwenda namba ...
2. Siyo kwamba kwa kufanya hivyo mnatuingiza katika mtego wa kuunganishwa katika huduma flani mnazotoa pasipo kupata ridhaa ya mteja?
3. kwan kumpa mtu zawadi lazima umpe masharti?