Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Baada ya juzi Waziri wa Fedha, Mustafar Mkulo kutangaza kuwa wizara yake haipo tayari kulipa deni kwa Dowans, kwa madai kwamba deni hilo linaihusu TANESCO, Jana TANESCO wameibuka na kusema kuwa wanakusudia leo kupeleka mahakamani pingamizi dhidi ya malipo hayo.
Walichosahau kutuambia hapa ni sababu zilizowafanya wakavunja mkataba ambao kimsingi walijua gharama yake, lakini pia hawajasema siku zote walikuwa wapi hadi uamuzi huo anafikiwa. Lakini pia ni vema wakatuambia mtu(kwa jina) aliyesaini kuingia na kuvujwa kwa mkataba huu kwa niaba ya serikali.
Lakini pia hawa TANESCO na akina Mkulo wanamdanganya nani kwa jambo ambalo lipo wazi hata kwa kipofu?
These people cant be serious at all.
Walichosahau kutuambia hapa ni sababu zilizowafanya wakavunja mkataba ambao kimsingi walijua gharama yake, lakini pia hawajasema siku zote walikuwa wapi hadi uamuzi huo anafikiwa. Lakini pia ni vema wakatuambia mtu(kwa jina) aliyesaini kuingia na kuvujwa kwa mkataba huu kwa niaba ya serikali.
Lakini pia hawa TANESCO na akina Mkulo wanamdanganya nani kwa jambo ambalo lipo wazi hata kwa kipofu?
These people cant be serious at all.