Eti "Siye tunaingia Mpaka Ndani Kukagua Mahabusu/Magereza" - Mwenyezi Mungu anawaona Mawakili wa Serikali

Wana viburi balaa lakini wakikamatwa wanakimbilia kwa mawakili wa kujitegemea
Mfano yule state attorney wa mkoa wa Manyara bw. Mutalemwa kishenyi, ambae alikamatwa na rushwa, alitetewa na wakili binafsi,


Huyo Chavula mtu wa wapi, ndio alisimamia kesi ya wale majambazi waliomuua Bilionea Msuya
 
Ulimbukeni na kujiona wako juu ya kila kitu kumbe njaa tuu zinawasumbua maana hata wao deep down wanajua wanachokifanya ni totally Immoral & Inhuman.
binafsi sioni kwanini nyumbu mnahukumu hii kesi mkiwa nje, kwanini msiiachie tu mahakama, na pale si kuna mawakili wenu na mambo yote yanaenda wazi? pia kesi ikisha asiyeridhika atakata rufaa. sasa kwanini mnatapatapa? tulizeni kitenesi subirini hukumu. ushahidi utachambuliwa wote na mnatakiwa mkubaliena na kitakachotamkwa na mahakama.
 
Ila Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini
Hao mawakili wa serikali wengi Wana laana za watuhumiwa ,unakuta Mtu anasota mahabusu hata miaka mitano upelelezi haujakamilika, hakimu anahamua kumuachia kwa 225, wao wanapanga polisi wanamkamata,anarudishwa Tena mahabusu,

**** jirani yangu yupo mahabusu keko mwaka wa Saba huu upelelezi Bado,aliachiwa,wakamdaka tena

Mkewe alihamua kufungua kibanda Cha chakula pale Karibu na kiwanda Cha Cottex, ajikimu na watoto, aisee nimepita juzi wamevunjiwa na manispaa 😎

Sijui Sasa Wana Hali gani
 
Mfano yule state attorney wa mkoa wa Manyra bw. Mutalemwa kishenyu, ambae alikamatwa na rushwa, alitetewa na wakili binafsi,


HuyoChavula mtu wa wapi, ndio alisimamia kesi ya wale majambazi waliomuua Bilionea Msuya
Hawa watu walijazwa viburi na Jiwe. Yaani nasema walaaniwe pamoja na vizazi vyao.
 
Hivi itafika hatua kuulizana:

Nini kinathibitisha palikuwa na mpango au mchoro wa sijui kudhuru mtu yeyote, kulipua vituo vya mafuta na kuzuia barabara kwa magogo?

Inatosha tu kukamata watu wanaoeleza kwa hiari au mashinikizo?

Mbona ningekuwa mimi ni Mbowe ningesema tu hiyo mipango siyo yangu!

Au sababu mi ni mbumbu mzungu wa reli katika sheria kuhusu ugaidi?

Ngoja tuone.
 
Sio kuwatisha,Bali haki ifuatwe
Wao kama mawakili wanalazimishaje njia ovu za Polisi ziwe kweli,Gaidi unamfunga kitambaa usoni toka moshi hadi Dar.Ni sheria au utashi wa mtu.
Magaidi wa ukweli unasafiri nao kwa gari moja tu.
Magaidi unapata mda wakuwanunulia MO energy.
Tuache kulazimisha tuhuma kwa kuwa humpendi mtu fulani
Kumbe wewe muoga hivi- sikutegemea
 
Hivi itafika hatua kuulizana:

Nini kinathibitisha palikuwa na mpango au mchoro wa sijui kudhuru mtu yeyote, kulipua vituo vya mafuta na kuzuia barabara kwa magogo?

Inatosha tu kukamata watu wanaoeleza kwa hiari au mashinikizo?

Mbona ningekuwa mimi ni Mbowe ningesema tu hiyo mipango siyo yangu!

Au sababu mi ni mbumbu mzungu wa reli katika sheria kuhusu ugaidi?

Ngoja tuone.
Urio kutafutwa na Mbowe kwa hicho kinaitwa VIP protection- NI SHINIKIZO
Adamoo et al kufukuzwa jeshini ni script iliyotungwa na Kingai
KWELI
 
Hivi itafika hatua kuulizana:

Nini kinathibitisha palikuwa na mpango au mchoro wa sijui kudhuru mtu yeyote, kulipua vituo vya mafuta na kuzuia barabara kwa magogo?

Inatosha tu kukamata watu wanaoeleza kwa hiari au mashinikizo?

Mbona ningekuwa mimi ni Mbowe ningesema tu hiyo mipango siyo yangu!

Au sababu mi ni mbumbu mzungu wa reli katika sheria kuhusu ugaidi?

Ngoja tuone.
Halafu anayetakiwa kutoa ushahidi conclusive ni huyo Urio basi! Sijui yuko wapi mtu huyo!
 
Hao mawakili wa serikali wengi Wana laana za watuhumiwa ,unakuta Mtu anasota mahabusu hata miaka mitano upelelezi haujakamilika, hakimu anahamua kumuachia kwa 225, wao wanapanga polisi wanamkamata,anarudishwa Tena mahabusu,

**** jirani yangu yupo mahabusu keko mwaka wa Saba huu upelelezi Bado,aliachiwa,wakamdaka tena

Mkewe alihamua kufungua kibanda Cha chakula pale Karibu na kiwanda Cha Cottex, ajikimu na watoto, aisee nimepita juzi wamevunjiwa na manispaa 😎

Sijui Sasa Wana Hali gani
Mbali sana! Ndiyo hayo ya kutoka gerezani then unakuta kina Chapwa washazalisha baby mwingine.
 
Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Dua la kuku.........
 
Una uhakika na ullichoandika
amini usiamini, huwezi kufanya lolote, na ungekuwa na uwezo wa kufanya lolote ungeshafanya zamani. pia, hata ukifanya lolote lazima utajulikana tu na utanyyea debe hadi utajuta ujinga gani ulijiingiza. na kwa akili yako kama hii, no wonder mnaitwa magaidi nyie nyumbu...na hamna lolote.
 
amini usiamini, huwezi kufanya lolote, na ungekuwa na uwezo wa kufanya lolote ungeshafanya zamani. pia, hata ukifanya lolote lazima utajulikana tu na utanyyea debe hadi utajuta ujinga gani ulijiingiza. na kwa akili yako kama hii, no wonder mnaitwa magaidi nyie nyumbu...na hamna lolote.
Du!
 
kaka, niwatetee kidogo hata kama mimi ni wakili wa kujitegemea. zamani kabla sijaondoka huko kwenye mishahara nilikuwa wakili wa serikali. Mawakili wa Serikali huwa wanatembelea magereza kama moja ya kazi zao kabisa, hata mimi nilitembelea sana. tulikuwa tunawasiliana tu na Mkuu wa gereza kuwa aandae watu wake sisi tunakuja kukagua gereza kesho yake, hivyo wakili wa serikali, Hakimu Mfawidhi, RCO na OC CID Sometimes tunaenda, tukifika pale vifuatavyo huwa vinafanyika:-

1. Mahabusu wanapata nafasi ya kutulalamikia kama jalada linachelewa upelelezi, wakili wa serikali atajibu.

2. kama kuna malalamiko dhidi ya Mahakama, hakimu yupo pale atajibu.

3.kama kuna malalamiko dhidi ya polisi, rco na oc cid wapo pale watajibu. etc.

hii huwa inasaidia sana na mawakili wasipoenda gerezani hadi wanajela huwa wanalalamika, kwasababu mahabusu na wafungwa huwa wanaweza kuleta hata fujo kule. anachosema chavula ni kweli wala hajitutumui, kuna maeneo mengine at least kile mwezi huwa state attorneys hasa hao wafawidhi kama chavula, wanatembelea magereza tena yote yaliyopo kwenye mkoa, sio kama sisi mawakili wakujitegemea ambao tukienda pale tunaonana na mteja wetu tu, mawakili wa serikali wakienda pale wanaonana na inmate wote wa gerezani na wanasomewa risala kabisa, na kutembelea hadi kwenye mabweni kukagua. na siohivyo tu wana wajibu pia wa kutembelea na kukagua vituo vya polisi tena kwa kushtukiza ili kuona watu gani wamekalishwa rumande ya polisi bila jalada kuletwa kwao ili mtu apelekwe mahakamani.

usilolijua ni kama usiku wa giza.
Wewe PU.NGUANI kwani sasa huwa hawafiki Tazara na Mbweni? Au na wenyewe wako nyuma ya huo UHARAMIA unaofanyika huko? Acha kutulisha matango pori aisee.
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom