Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,485
- 2,938
Mfano yule state attorney wa mkoa wa Manyara bw. Mutalemwa kishenyi, ambae alikamatwa na rushwa, alitetewa na wakili binafsi,Wana viburi balaa lakini wakikamatwa wanakimbilia kwa mawakili wa kujitegemea
Huyo Chavula mtu wa wapi, ndio alisimamia kesi ya wale majambazi waliomuua Bilionea Msuya