4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,912
- 6,693
Mkuu ebu mie niletee Ak 47 màana DUNIA ishakua vita ,kujilinda muhim sidhani nimevunja sheria yeyote mh Jaji😂Maisha ya duniani ni vita tu always, ukilegea inakula kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ebu mie niletee Ak 47 màana DUNIA ishakua vita ,kujilinda muhim sidhani nimevunja sheria yeyote mh Jaji😂Maisha ya duniani ni vita tu always, ukilegea inakula kwako
Hamna sheria inayovunjwa kwa kujipambania mzee baba!Mkuu ebu mie niletee Ak 47 màana DUNIA ishakua vita ,kujilinda muhim sidhani nimevunja sheria yeyote mh Jaji😂
Hakuandaliwa vyema nini😅 au hajapikwa vizuri?Kweli kabisa, Unaweza ukapigana vita vyako vizuri ila baadaye watoto na wajukuu wako wakapigwa ile mbaya! Mahita Junior tunamwona, na umri wake yule sijui atastaafuje? Amwombe Mungu sana!
Apo sawa mkuu ,leta kitu icho dunia vita Sasa mkuuHamna sheria inayovunjwa kwa kujipambania mzee baba!
Usikonde mzee baba😅Apo sawa mkuu ,leta kitu icho dunia vita Sasa mkuu
Ni wajivuni tu lakini kimaslahi wako chini sana hushinda kesi kwa nguvu ya dola na hoja zao huwa ni dhaifu sana.Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
IKO sikuIla Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini
Hata Mimi ningependa kuwajua hawa nyoka,please mwenye pichaNaomba mwenye picha za hawa mawakili wa Serikali kwenye kesi hii atuwekee tuwajue hawa maadui.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Meonee?Nchi hii tuna safari ndefu sana.
Nilitegemea mawakili wa serikali wawe washauri wazuri wa DPP kuwa polisi walizuia ugaidi,uhujumu uchumi hivyo hakuna maslahi kwa taifa kuendelea na kesi huku wanamchelewesha jaji akawajibike na kesi zingine.
unawatisha?Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Mbona ziko nyingiNdiyo maana ni nadra sana kukuta Law Firm ya Mwanasheria aliyestaafu kazi Serikalini!
Kila siku kulialia. Kama Gaidi Mbowe na wenzake hawana hatia si Mahakama itasema? Mara utasikia Mahakama so huru. Mara Mahakama inatumiwa na CCM na Serikali. Kama ni hivyo, Kibatala, Mtobesya na wenzake wanafanyaGA nini huko Mahakamani? Si wangeenda kulima matikiti ikajulikana?Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
kaka, niwatetee kidogo hata kama mimi ni wakili wa kujitegemea. zamani kabla sijaondoka huko kwenye mishahara nilikuwa wakili wa serikali. Mawakili wa Serikali huwa wanatembelea magereza kama moja ya kazi zao kabisa, hata mimi nilitembelea sana. tulikuwa tunawasiliana tu na Mkuu wa gereza kuwa aandae watu wake sisi tunakuja kukagua gereza kesho yake, hivyo wakili wa serikali, Hakimu Mfawidhi, RCO na OC CID Sometimes tunaenda, tukifika pale vifuatavyo huwa vinafanyika:-Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
majority ya wanasheria wazuri unaowafahamu, walikuwa mawakili wa serikali, walipopata uzoefu wakaacha kazi wakaenda kufungua ofisi zao binafsi. na kwenye criminal, hakuna expert anayewazidi hao wanasheria au wale waliowahi kufanya huko. ukweli mchungu.Mbona ziko nyingi
wekeni na wale wa sabaya, au mnataka wa mbowe tu?Naomba mwenye picha za hawa mawakili wa Serikali kwenye kesi hii atuwekee tuwajue hawa maadui.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
mkuu, uwezo kwenye kesi za criminal hao mawakili wa serikali wapo juu sana kuliko wa kujitegemea na hao wanaoendesha kesi ya mbowe zaidi ya wanne ni viongozi wafawidhi ya mikoa na wilaya. nawajua, niliwapokea kazini baadaye nikawaacha huko serikalini.Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu lakini sio mawakili binafsi. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kuwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
amini usiamini, kwenye criminal state attorneys wako bora kuliko mawakili wa kujitegemea. labda kwa mawakili ambao walishawahi kuwa state attorneys. huu ndio ukweli mchungu. mfano pekee angalia application ya makonda aliyoandaa Hekima Mwasipu...hata law school student hawezi kuandaa vile.Ni wajivuni tu lakini kimaslahi wako chini sana hushinda kesi kwa nguvu ya dola na hoja zao huwa ni dhaifu sana.
hata ukiwajua huna uwezo kuwafanya chochote ndugu yangu. nenda nyumbani kwako kale chakula ukakojoe ulale. usijiingize kwenye matatizi wakati huna wa kukutetea.Hata Mimi ningependa kuwajua hawa nyoka,please mwenye picha
Du! Kama wewe mwenyewe unakiri umetoka huko umewaacha sasa sijui ulistaafu au imekuwaje mpaka uko private! Sasa kwa maana hiyo ukipata kesi ukabishane nao utaiacha?mkuu, uwezo kwenye kesi za criminal hao mawakili wa serikali wapo juu sana kuliko wa kujitegemea na hao wanaoendesha kesi ya mbowe zaidi ya wanne ni viongozi wafawidhi ya mikoa na wilaya. nawajua, niliwapokea kazini baadaye nikawaacha huko serikalini.
ukienda gerezani, treatment anayopata kibatala au ninayopata mimi kama wakili wa kujitegemea na wao ni tofauti, wao ni serikali wanapigiwa hadi saluti.
pia ukitaka kujua tofauti yao na wengine ambao hawajapitia kweney ofisi zao, angalia hii application amefanay Advocate Hekima mwasipu dhidi ya Makonda, nilitamani sana makonda ashitakiwe, lakini mwasipu ameweka application yenye nyaraka zote batili hadi hati ya mashtaka hajui kabisa kuandaa, ni batili, everything pale ni batili . huo ndio ulinganisho mnatakiwa kuufanya.