- Thread starter
- #21
Wabaya sana watu hao!Ila Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini