The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,461
Hivi inakuwaje mpenzi wako anakuletea mashtaka
na ku demand maelezo...unampa maelezo halafu unamuuliza
umeyatoa wapi hayo maneno
anakujibu 'siwezi kukutajia nani kaniambia'...
sasa hapo mi ndo nashangaa na kujiuliza maswali kibao
1.hakuna aliemwambia ni yeye mwenyewe kayatunga?
2.huyo alimwambia 'wanajuana vizuri sana so anamlinda' ?
3.huyo aliemwambia anayo mengi zaidi kumhusu so anaogopa
utaweza yafahamu?
ili mradi naona hili haliko sawa
na wapenzi wanaweza kuzungumza kitu bila kutajiana
source ya habari? sasa hapo 'kuaminiana kutajengwa vipi'?
binafsi nikiitwa kwenye kesi za aina hii kusuluhisha..
na sababu tabia hii wanayo sana wanawake..sanasana ntashauri
mwanaume atoe 'kelbu' za kutosha hadi hiyo source itajwe
au otherwise wanawake msiwe mnaanzisha mazungumzo ya aina hii ambayo
hutaki ijulikane nani kakwambia....
ukiamua kuzungumza zungumza yote na useme nani kakwambia
otherwise nyamaza kimya.....
cc snowhite Kaunga King'asti Dark City OLESAIDIMU Mtambuzi Fixed Point Ennie Karucee Kongosho Nivea
na ku demand maelezo...unampa maelezo halafu unamuuliza
umeyatoa wapi hayo maneno
anakujibu 'siwezi kukutajia nani kaniambia'...
sasa hapo mi ndo nashangaa na kujiuliza maswali kibao
1.hakuna aliemwambia ni yeye mwenyewe kayatunga?
2.huyo alimwambia 'wanajuana vizuri sana so anamlinda' ?
3.huyo aliemwambia anayo mengi zaidi kumhusu so anaogopa
utaweza yafahamu?
ili mradi naona hili haliko sawa
na wapenzi wanaweza kuzungumza kitu bila kutajiana
source ya habari? sasa hapo 'kuaminiana kutajengwa vipi'?
binafsi nikiitwa kwenye kesi za aina hii kusuluhisha..
na sababu tabia hii wanayo sana wanawake..sanasana ntashauri
mwanaume atoe 'kelbu' za kutosha hadi hiyo source itajwe
au otherwise wanawake msiwe mnaanzisha mazungumzo ya aina hii ambayo
hutaki ijulikane nani kakwambia....
ukiamua kuzungumza zungumza yote na useme nani kakwambia
otherwise nyamaza kimya.....
cc snowhite Kaunga King'asti Dark City OLESAIDIMU Mtambuzi Fixed Point Ennie Karucee Kongosho Nivea
Last edited by a moderator: