nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,660
Kama una miliki sniper tunaanzaje kumtaja aliyesema? (just kddng)
Pengine wanaogopa ugomvi utakaoweza kutokea baina yenu.... lakini kama ukishakanusha ama kukubali huo umbea ulioletewa, what is the point ya kumjua aliyekusemea?
Pengine wanaogopa ugomvi utakaoweza kutokea baina yenu.... lakini kama ukishakanusha ama kukubali huo umbea ulioletewa, what is the point ya kumjua aliyekusemea?