Ni afadhali Sitta, angalau ni zimwi likujualo, kuliko Kinana aliyeandaliwa na CCM kama asante kwa kazi nzuri ya Mchakachuo.
Chedama pia wamshauri Dr. Slaa atupe karata yake kwenye uspika, japo idadi ya wapinzani ni ndogo, naamini Sauti ya Mungu, itawaingia baadhi ya WanaCCM kuacha unafiki na kumchagua Dr. Slaa kulinyoosha bunge tupate katiba mpya.
Spika ni shuti awe mbunge FULL STOP