Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Sidhani kama hizi habari ni za kweli kwa sababu moja ya matunda ya uchaguzi huu ni umeidhoofisha hiyo Kamati Kuu ya CCM na hivi sasa haina jeuri tena chini ya uenyekiti wake wa JK kucheza na masuala ya ufisadi...............hata dola ina mipaka ya kuwabeba....usifikiri uchaguzi ujao CCM itabebwa na NEC na Idara ya usalama wa taifa na kutulazimisha mrithi wa JK atutawale kwa mabavu kama JK alivyotudhulumu haki yatu ya kimsingi ya kujichagulia viongozi wetu...........................