kuchkuch hotahe
Member
- Jan 26, 2012
- 60
- 110
Wadau naomba kuuliza eti hii pesa ya special faculty kwa wanafunzi wa elimu ya juu huingiziwa mwezi wa ngap
Wadau naomba kuuliza eti hii pesa ya special faculty kwa wanafunzi wa elimu ya juu huingiziwa mwezi wa ngap
Hiyo pesa haina muda maalum wa kuingia,inategemea na utaratibu wa chuo chenu
Kikawaida inatakiwa itolewe mwanzoni mwa semester ya mwaka wa huo wa masomo kwa sababu mahitaji maalum ya hiyo kozi yananunuliwa mwanzoni kabla shule haijakolea
Wasiliana na Waziri wa Fedha wa serikali ya chuo chenu wafuatilie kwa Loan Officer
Wadau naomba kuuliza eti hii pesa ya special faculty kwa wanafunzi wa elimu ya juu huingiziwa mwezi wa ngap