Eti nyie warembo, hili la vidole vyenu vya miguuni inakuwaje?

Sajenti

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
3,651
412
Siku za nyuma niliwahi kusikia sikia juu juu tu lakini jana nikakuta likizungumzwa na watu wazima tu kuwa muonekano wa vidole vya msichana au mwanamke katika miguu yake hutoa picha ya jinsi maumbile yake yalivyo.Yaani kidole gumba na kinachofatia miguuni vinapoonekana kuwa virefu basi hata huko kunako mashine kuko "deep".Kuna ukweli kwenye hili?
Mh! haya bana weekend njema wote:israel::israel:
 
kuna haja ya kuvaa viatu vya kufunika tu ili watu washindwe kukuases.
 
Wewe umeigeuza mie navyojua wanaume wenye vidole virefu na mb***** zao huwa ndefu hili la vidole vya wanawake mmmhhhh hapana najua mwanamke ukiona ana mdogo mpana au mnene hivi ujue ndani ndo kulivyo eeehhh samahani wakubwa
 
Wewe umeigeuza mie navyojua wanaume wenye vidole virefu na mb***** zao huwa ndefu hili la vidole vya wanawake mmmhhhh hapana najua mwanamke ukiona ana mdogo mpana au mnene hivi ujue ndani ndo kulivyo eeehhh samahani wakubwa

ngoja nikafanye uchunguzi wa vidole vya shemeji yako halafu nithibishe lakini naona kuna ka ukweli hapo kwenye hii mada mh
 
Jibu swali tafadhali!!!!!!!

eehh nilipumzika kdg sikumbili iz
asante sana kwa aliyekuficha ..sasa sijui kwanini kakuachia?
aahh nilikumiss wewe
njoo bas uangalie vidole vyangu utapata jbu au waonaje mpz?
njoo basi nakusubiri...ntavaa ndala!!!!!
 
eehh nilipumzika kdg sikumbili iz
asante sana kwa aliyekuficha ..sasa sijui kwanini kakuachia?
aahh nilikumiss wewe
njoo bas uangalie vidole vyangu utapata jbu au waonaje mpz?
njoo basi nakusubiri...ntavaa ndala!!!!!


chonde chonde mama usinigombanishe na watu humu ndani!mi kupotea siku mbili tu, tayari watu wameshagawana!duh, anyway sio issue, karibu breakfast!(chai+kababu+kachori)
 
chonde chonde mama usinigombanishe na watu humu ndani!mi kupotea siku mbili tu, tayari watu wameshagawana!duh, anyway sio issue, karibu breakfast!(chai+kababu+kachori)
kwan unaogopa nini?
acha uoga wewe
dahh nimemis kababu jaman...kachor..?
 
chonde chonde mama usinigombanishe na watu humu ndani!mi kupotea siku mbili tu, tayari watu wameshagawana!duh, anyway sio issue, karibu breakfast!(chai+kababu+kachori)

we kumbe hujui kunguru wa zenj tabia yao, anavizia ukizubaa tu kapitia
 
eehh nilipumzika kdg sikumbili iz
asante sana kwa aliyekuficha ..sasa sijui kwanini kakuachia?
aahh nilikumiss wewe
njoo bas uangalie vidole vyangu utapata jbu au waonaje mpz?
njoo basi nakusubiri...ntavaa ndala!!!!!

alifichwa na mama big wa jf.
 
hapa naona wameulizwa warembo ngoja nisepe.....
..Usisepe Kimey, tupe mauzoefu yako lazima ulishachakachua kiasi cha kutosha au ulikuwa huangalii vidole yakhe we unarukia na kuwasha tukutuku tu??
 
..Usisepe Kimey, tupe mauzoefu yako lazima ulishachakachua kiasi cha kutosha au ulikuwa huangalii vidole yakhe we unarukia na kuwasha tukutuku tu??
Swali limeenda kwa warembo nikijibu mm kesho akiniita "we mrembo" ntafanyaje?:nono:
 
eehh nilipumzika kdg sikumbili iz
asante sana kwa aliyekuficha ..sasa sijui kwanini kakuachia?
aahh nilikumiss wewe
njoo bas uangalie vidole vyangu utapata jbu au waonaje mpz?
njoo basi nakusubiri...ntavaa ndala!!!!!


:boink:
Eti nini aje wapi?:boink::boink:
 
Back
Top Bottom