Eti nyie wa Bongo movies na BongoFlava Na hili mnasubiri na Hili Ulaya waanze?!

Ashelimo

Member
Jul 31, 2015
45
29
Santuri, Kaseti floppy, CD na sasa DVD na USB flash ndio njia ambazo kazi ya Sanaa zimekuwa zimekuwa zikiuzwa na kuhifadhiwa. Japo
hizo za mwanzo zimepitwa na wakati

Shukrani kwa wenzetu wa Ulaya na Asia kwa tecnoloja Hizo.

Hivi kwa mfano yani Mkaja na Flash simple ambazo zinasecurity ambayo itamfanya mtu asiweze kunakili au ku share mkawa mnatuuzia kazi zenu humo. Imekaa vipi? Hiyo nadhani imekaa vyema au sio?

Ma CD yanaharabika haribika, Inakuwa ngumu kutunza, Hata jirani akiomba akatazame kwake unaona noma kumuachia kwa sababu hujui ubora wa DVD player yake, Isije ikaharibu DVD zako

Kama kugundua hatuwezi, Je tukiwa wa kuwanza tu kuuambia ulimwengu kuwa soko la Sanaa na USB flash linawezekana na hiyo tunashindwa?

Aaah bwana Msizingue katika hili. Tuuonyeshe tu ulimwengu kuwa kama kugundua hatuwezi lakini kwenye kwenda na wakati tupo na hatujaachwa nyuma
 
mkuu kuna Zaidi encrypted software 10 za kuweza kufungua USB technologia kwa sasa Technology imeenda mbali Zaidi mpaka mtu anaweza ku crack password ya ATM card yako na kukuibia hela bank, kikubwa hapa ni kufanya kazi bora na kisha kutafuta managers ambao utawauzia kazi yako pale pale na yeye umuachie kazi ya ku distribute. wewe unachukua chako mapema unamuacha yeye anahangaika kuuza labda hivyo
 
Haya mambo yanahitaji chemistry ya hali ya juu, kwa ujuvi gani walionao hadi wagundue hizo mambo? wabongo tuukubari tu ukweli kuwa elimu yetu ibaki kuwa ya vyeti kama vya bashite, lkn kiuhalisia haisadii hata kidogo ktk maisha yetu ya kila siku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom