Eti Nyie Dada zetu hii nikweli au mnasingiziwa?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Jamani wadau wa hili jukwaa la MMU nilikuwa na rafiki yangu mahali tupata kirauli mitaa ya Oysterbay kuna baa inaitwa Trinit sasa jamaa akaniambia unamuona yule dada ana jamaa tunafanya naye kazi Siku hizi wadada wa maofisini ndiyo wamekuwa wadada poa unampa chake unaenda kubrudika wanakuwa wengi sehemu zao nizile baa zinazotembelewa na watu fulani niwengi ajabu hivyo usishangae kesho ukakutana na Demu mko naye ofisini kakupigia kimin na koko ya hatari yupo kazini na akikujua anakwambia ya hapa yaishie hapa!!!
Kweli siamini kama kweli nimeona leo nije nayo hapa!!Wengi eti hadi kona baa wapo na wanamaofisi makubwa wanalipwa mishahara mizuri wengine kwenye mabenki wengine ni watumishi wa serikali!!
 
Mbona mambo ya kawaida sana siku hizi... walianza wanafunzi wa vuo vikuu, sasa wamekuwa hao wadodo wafanyakazi, baada ya muda watakuja wake za watu... kawaida tu
 
Mbona mambo ya kawaida sana siku hizi... walianza wanafunzi wa vuo vikuu, sasa wamekuwa hao wadodo wafanyakazi, baada ya muda watakuja wake za watu... kawaida tu
Duh Mkuu sasa baada ya wake za watu watakuja Mama zao??aua?
 
Hapo inahitaji moyo wa chuma kama una demu wake anafanya kazi kwenye maofisi makubwa..
 
Mbona mambo ya kawaida sana siku hizi... walianza wanafunzi wa vuo vikuu, sasa wamekuwa hao wadodo wafanyakazi, baada ya muda watakuja wake za watu... kawaida tu

baada ya hapo watakuja wakuu wa idara,wakurugenzi,wake wa makatibu wa wizara mara wa mawaziri etc
 
Mbona list ya wabunge waliokuwa kazini inajulikana? Walikuwa wanaanza na jiwe mbili kummega mbunge flani! Na yule mbunge mwengine alikuwa anaongoza jimbo flani la mji mkubwa hapa tz! Dah!
 
Yule Mh. Mbunge Mmoja kanuni yake ilikuwa ukimmega mara moja hakuruhusu tena urudie mara ya pili! Kuna jamaa yangu mmoja maarufu sana hapa bongo, na anaimbwa sana na bendi zile zenye wakongomani, alinieleza kwamba, yule mkuu ukitaka kumshusha bei kidogo anakuambia chupi yake ina thamani ya sh elf 50, na inavuliwa kwa kuchanwa yaani haivaliwi tena baada ya tendo.
Ila unatakiwa uende kiheshima sana unaweza ukaumbuliwa vibaya ukiwa mapepe!
 
Jamani wadau wa hili jukwaa la MMU nilikuwa na rafiki yangu mahali tupata kirauli mitaa ya Oysterbay kuna baa inaitwa Trinit sasa jamaa akaniambia unamuona yule dada ana jamaa tunafanya naye kazi Siku hizi wadada wa maofisini ndiyo wamekuwa wadada poa unampa chake unaenda kubrudika wanakuwa wengi sehemu zao nizile baa zinazotembelewa na watu fulani niwengi ajabu hivyo usishangae kesho ukakutana na Demu mko naye ofisini kakupigia kimin na koko ya hatari yupo kazini na akikujua anakwambia ya hapa yaishie hapa!!!
Kweli siamini kama kweli nimeona leo nije nayo hapa!!Wengi eti hadi kona baa wapo na wanamaofisi makubwa wanalipwa mishahara mizuri wengine kwenye mabenki wengine ni watumishi wa serikali!!
Sikuizi hata sijui nani anafanya uchangu kwa shida au nani anafanya kwa raha zake,manake kama unamshahara hata iwe mdogo unauhakika na pesa mwisho wa mwezi nini kinawawasha baadhi ya wanawake wenzetu sijui ah haya wakishalipata wanalolitafuta watatulia.
 
miaka ile tunasoma chuo kuna jamaa alienda buguruni na kuhuchukua dada poa......kumbe alikuwa ni dent tena class moja...kufika gest jamaa akamtambua demu na demu akasema...usimmwabie mtu....ila bado jamaa alitufikishia habari........

so wapo wengi sana......na kuna wengine wa kimya kimya nao ni balaa kuliko maelezo...
 
Haya mambo yapo sana na wanafanya kweli .Wengine mbona wanaishi na washkaji zao na wanaagana vyema kwamba naenda kukichanga.Bongo ni zaidi ya uijuavyo
 
mi sijui hayo mambo?
triniti unapafahamu? ni karibu na ubalozi wa Uganda mkabala na karume praimari, kila ijumaa kuna mziki mtamu sana pale,karibu Bebii,hao machangu usiwajali bana we njoo ule raha zako tu.
 
huku ofisini kila mke wa mtu ana mwanaume na kila mume wa mtu ana mwanamke, tena mapenzi ni motomoto kupita unavyofahamu wewe, hata wale ambao waume zao wamewanunulia magari mazuri tena ya kifahari hawajali hayo wao wanangonoka kama kawa.
 
mbona mambo ya kawaida sana siku hizi... Walianza wanafunzi wa vuo vikuu, sasa wamekuwa hao wadodo wafanyakazi, baada ya muda watakuja wake za watu... Kawaida tu

hawata fika huko tuttakuwa tumeshawapoteza kwa ukimwi "labda dawa igunduliwe" na ikigunduliwa dawa baasi ni mwisho wa dunia maana watageuka kuwa kuku kabisa vya chapchap na uchochoroni usiombe....
 
huku ofisini kila mke wa mtu ana mwanaume na kila mume wa mtu ana mwanamke, tena mapenzi ni motomoto kupita unavyofahamu wewe, hata wale ambao waume zao wamewanunulia magari mazuri tena ya kifahari hawajali hayo wao wanangonoka kama kawa.
kwahiyo na wewe una wako. Inapendeza kwa kweli, maana huwa nikimuangalia my wife, nasikia uchungu sana kama kuna dume linaweza kumkula. For sure nikigundua nitatoa talaka, maana sitaweza kabisa kuvumilia kwa jinsi ninavyompenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom