KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani wadau wa hili jukwaa la MMU nilikuwa na rafiki yangu mahali tupata kirauli mitaa ya Oysterbay kuna baa inaitwa Trinit sasa jamaa akaniambia unamuona yule dada ana jamaa tunafanya naye kazi Siku hizi wadada wa maofisini ndiyo wamekuwa wadada poa unampa chake unaenda kubrudika wanakuwa wengi sehemu zao nizile baa zinazotembelewa na watu fulani niwengi ajabu hivyo usishangae kesho ukakutana na Demu mko naye ofisini kakupigia kimin na koko ya hatari yupo kazini na akikujua anakwambia ya hapa yaishie hapa!!!
Kweli siamini kama kweli nimeona leo nije nayo hapa!!Wengi eti hadi kona baa wapo na wanamaofisi makubwa wanalipwa mishahara mizuri wengine kwenye mabenki wengine ni watumishi wa serikali!!
Kweli siamini kama kweli nimeona leo nije nayo hapa!!Wengi eti hadi kona baa wapo na wanamaofisi makubwa wanalipwa mishahara mizuri wengine kwenye mabenki wengine ni watumishi wa serikali!!