Eti ni Ufisadi Training College

eedoh05

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
632
234
UFISADI TRAINING COLLEGE
Chuo kinakutangazia nafasi za kozi zifuatazo kwa
mwaka wa masomo 2010-2015:-



  1. Wizi wa Kura
  2. Utumiaji wa Vyeti Feki ili Kuitwa Daktari
  3. Kulipa Mishahara Hewa
  4. Kuanzisha Makampuni Hewa
  5. Kuiba Misaada na Michango ya Waathirika

Chuo kinakupa nafasi ya Kwenda Field (Elimu kwa Vitendo) EPA, BOT, TRA,
na ukishamaliza kozi utaajiriwa RICHMOND au DOWANS.
CHUO kimetoa wahitimu wengi kama EL, Kara-magi, RA, AC, Chikwete, orodha
ni ndefu.
FOMUzinapatikana Ofisi zote za CCM, Ikulu, BOT na TRA.
WAHI sasa nafasi ni chache.
 
UFISADI TRAINING COLLEGE
Chuo kinakutangazia nafasi za kozi zifuatazo kwa
mwaka wa masomo 2010-2015:-



  1. Wizi wa Kura
  2. Utumiaji wa Vyeti Feki ili Kuitwa Daktari
  3. Kulipa Mishahara Hewa
  4. Kuanzisha Makampuni Hewa
  5. Kuiba Misaada na Michango ya Waathirika

Chuo kinakupa nafasi ya Kwenda Field (Elimu kwa Vitendo) EPA, BOT, TRA,
na ukishamaliza kozi utaajiriwa RICHMOND au DOWANS.
CHUO kimetoa wahitimu wengi kama EL, Kara-magi, RA, AC, Chikwete, orodha
ni ndefu.
FOMUzinapatikana Ofisi zote za CCM, Ikulu, BOT na TRA.
WAHI sasa nafasi ni chache.

Huu ni Udhalilishaji mkuu, jipange
 
Back
Top Bottom