Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Under Magufuli, Tanzania is dying slowly.
Magufuli hana dhamira ya dhati ya kuendeleza nchi, nia yake ni kuona anajenga majengo na miradi mikubwa kwa mikopo mikubwa yenye tiba kubwa na masharti magumu sana, ilimradi tu, amfunike Nyerere.
Mpaka anamaliza utawala wake, Magufuli atatuachia mzigo Mkubwa sana wa madeni.
Halo achilia mbali kesi ambazo zinafunguliwa Kila kunapokucha kwa sababu ya Magufuli kuvunja mikataba kiholela na maamuzi ya kukurupuka.
Magufuli hana dhamira ya dhati ya kuendeleza nchi, nia yake ni kuona anajenga majengo na miradi mikubwa kwa mikopo mikubwa yenye tiba kubwa na masharti magumu sana, ilimradi tu, amfunike Nyerere.
Mpaka anamaliza utawala wake, Magufuli atatuachia mzigo Mkubwa sana wa madeni.
Halo achilia mbali kesi ambazo zinafunguliwa Kila kunapokucha kwa sababu ya Magufuli kuvunja mikataba kiholela na maamuzi ya kukurupuka.