Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Kushoto, kulia, juu na chini kunatokana na REST POSITION yaani mzinga unapokuwa umepaki na hautumiki unawekwa mkao gani na kupigwa kufuli. Utafiti umeonyesha kuwa wanaume wengi wanalaza mizinga yao ikiwa imeinamia chini na kupindia upande wa kulia au kushoto na siyo juu.Hizi Pants hata maumbile yetu inayabadirisha, hazipo straight tena! mwingine imepindia kulia, mwingine kushoto, mwingine inatizama chini, mwingine juu hahahaha yote hiyo sababu ya parking ndani ya kufuli. Heri Masai anaacha inaning'inia kitu kinashuka ku daily akifikia 18 kitu kinakuwa kirefu ajabu hahahahahah