mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Leo katika gazeti la majira nimesoma habari inayohusu mh ngeleja kupokewa kifalme huko kwao sengerema!!. Mwandishi wa gazeti ameandika kwamba uongozi wa ccm sengerema umemuandalia maandamano na mapokezi makubwa mh ngeleja...mapokezi hayo yameitwa ya kifalme!!1. Lengo eti kuthamini mchango wake!!. Habari imeenda mbali kwa kusema kuwa mjumbe wa ccm amesema eti kuondolewa kwa ngeleja ni chuki binafsi!!! Sasa mimi nabaki najiuliza hivi kumbe ccm wamekuwa na mchezo wa kuleana eh! Ndioa maana pamoja na kashfa zote hawa wajumbe wa ccm sengerema wanataka kumtukuza ngeleja kama mfalme!!! Aibu hii tena aibu sana mimi nazani hawa wajumbe wamepotoka kabisa!