Eti ndo kuku . . .TAHADHALI: Usifungue kama wewe ni rahisi kupata KICHEFUCHEFU

hahah inaelekea badala ya kuwatia kichefu chefu ndio kwanza umewatamanisha baadhi ya watu ...:laugh::laugh::laugh:
 
uzuri ni kwamba hii panya moja inacontain all type of vitamins....rather that eating 2kg of ng'ombe au mbuzi...ni kujaza tumbo with less nutrients!!!
mbona si wamachinga tunakula toka zamani na hamjawahi kutuweka kwenye jf ila umeuona huo mgahawa tu
 
Najuta kwanini siku adhere na ONYO lako hapo kweli ni kichefu chefu
 
Lazima itakuwa tamu... Ila hiyo mbona hata hapa Tzee kuna makabila mengi tu yanakula hiyo kitu?

Haswa, tena kwa mapishi tofauti, walionyonyolewa na wengine na manyoya yao, waliookwa na waliochemshwa na kuwekwa tui la karanga. wengine wakavu kwa mafungu wakiwa wamefungwa pamoja kwa kamba aka "mkanda nje" Usiombe kuonja maana utakuwa adicted kila siku utatafuta.
 
Ama kweli aina ya mapishi ndio kilakitu, mtaani kwetu (jalalani) kuna mapanya mengi sijui niwapateje hawa jamaa niwape dili?
 
...alafu na kunguru tunakula sana kwenye vibanda vya chips tukidhani eti ni kuku!!! jamani tuwe makini!!!
 
Du, k/moto cha mtoto! Mwenye address ya restaurant hii naomba anifanyie hisani (even by PM).
 
Hawa inawezekana wakawa simbilisi, jina jingine sili. Niliwahi kwenda misheni moja Mafinga wakanitengea na ugali, nikachomoka bila kuaga. Ila baadaye niliwaona wenyewe wanakula na wako poa tu, ila kama unajifunzia ukubwani aisee ni ngumu kumesa.
 
Back
Top Bottom